Ndugu ni 30,000 tsh. Ila tupo pamoja ingawa inaonekana kama move ni ya darasa flan 2, wanaiba wazi wazi ilitakiwa ianze mwanzo wa semister ila imeanza ktk, kingine wabunge wa madarasa walipitisha bila kuhoji wahusika inaonekana ina influence kutoka juu au katikat ya uongozi.
1. Usafi ni sifa yao kubwa mfano wakike akiosha ndala yupo radhi akanyae tope kulko lapa liguse.
2. Vicheche si wa kike au kiume.
3. Uvivu (kukaa vijiweni na kukimbilia mjini kwa ndugu).
4. Wachoyo na wabinafsi.
5. Wanaume hawajali familia zao wanakula mgahawan siku njima kuanzia chai...
For the 1st time ndo kaongea bungeni jamaa hajisomi, ndo kachaguliwa kwa ajili ya wananchi, wakati mwenzake amechaguliwa juzi mwezi wa 4 kashauliza maswa na michango ya kutosha, hapa ndo tunaona tofauti kati ya kiongo na bora kiongozi.
Bora wamelinzisha manake hlio eneo nikubwa mno naliemezungushiwa electric fance niliwahi kwenda na miguu nikazunguka kuanzia saa 5 mpaka saa 12 nikamaliza upande mmoja 2, na bado upande wa pili na wanafuga farasi na viwanja vya gofu, nawanga mkono 100%
Hawa jamaa wanachokifanya ni kuhamisha mawazo ya cdm na kuwafanya kuhangaika na mambo yasiyokuwa na msingi mfano kesi zisizo na tija, mwisho wasiku cdm wapotee kwenye lengo mfano campein ya M4C. Ushauri wangu Cdm wajipange kuwadhibit hawa watu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.