Mkuu ndugu yangu ana account ya 10M tulifungua wote December 2023. Yeye amepata gawio la 86,700 Kwa mwezi WA December Tu.
Gawio la 2M ni Kwa miezi miwili, ina maana Kwa mwezi Mmoja ni 1.1M. Hapo ni December 2023 na January 24 Tu.
Nenda karibu Bahati yako Mkuu. Huenda ukadumu zaidi ya Mwaka.
Ila sijaelewa kama kweli wamekuita Pwani au uende ofisi Zako pale Masaki.
Mimi nilienda kufanya interview pale mwaka Jana, pako local Sana sioni kama panafaa ila ni kuweza kumudu changamoto Tu.
Na wanaofanya interview ni vijana...
Mimi nili Download Yacine TV ikafunguka fresh tu sema ili ifanye kazi inahitaji Ile supporting app (YTV Pro) ndio inayokataa. Inasema it's not supporting Ile TV.
Ntatuma picha jioni halafu utanielekeza zaidi mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.