1. Kuboresha na kusambaza minara kwa wingi.
Jitoeni kwenye ROAMING ya Tigo, jengeni minara yenu.
2. Kufungua matawi au ofisi zao.
Vuta picha pale Kibaha, ofisi ipo sehemu moja tu. Je huko vijijini itakuwaje?
3.Ondoa wazee, wekeni vijana.
Wazee wameshachoka wapo zama za Ujima(Communalism)...
Sharom
Waziri Ndalichako twende moja kwa moja kwenye mada husika. Hiki Chuo cha Univerisity of Dar es salaam Computing Center sio chuo kabisa.
Tafadhali kifutie usajili maana ufundishaji wao ni wa nadharia tu na si vitendo. Wiki 3 nyuma nilienda kuangalia miundombinu ili nimuapply mdogo wangu...
Katika uchaguzi wa mwaka huu mwezi October angalia mgombea mwenye sifa zifuatazo:
1. Ataliweka taifa kuwa la amani, akamate wote wasiojulikana walioua, poteza na kuumiza watanzania wenzetu
Wanaokamatwa kesi zao zisikilizwe na kumalizika ili haki ipatikane
2. Atakayeteua watu weledi wenye...
Shalom,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Mh Rais tunaomba umtumbue boss wa TTCL haiwezekani tangu apewe uongozi mwaka 2016 mpaka leo kampuni ipo ovyo.
Kampuni haijiongezi na pia huyo boss sio mbunifu kabisa.
Yaani 52% wa watumiaji wa TTCL hawajui menyu ya kuangalia salio ipoje.
Kampuni haina...
Mwandishi Nguli wa Kazi za Fasihi ya Kiswahili Prof. Euphrase Kezilahabi amefariki dunia. Tutamkumbuka Kezilahabi kwa kazi zake kama Rosa Mistika, Uwanja wa Fujo, Kaptula la Marx, Nagona na Mzingile! Alitetea Mashairi ya Kisasa!
Hakika, Jabali limeanguka! Tumeondokewa pakubwa.
Pumzika kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.