utakuja jua tu..... Changamoto ni muhimu si lazima wote tukubaliane na mawazo yako au ya flani!!! Lazima wengine tutakuwa tofauti tuu...
Peoples poweeeer......!!!!
Mmmmmhhhh.....inauma asikwambie mtu kavukavu bila ganzi.....
Kwa upande wa pili kuna madhara yake kwanza usipo tahiriwa vizuri ngozi ya juu (govi) baadae inakuja kurudi tena so hapo sidhani kama anafanyiwa kitaalamu... nini kama vile mtu anakatakata nyama vile.... KINGA NI BORA KULIKO TIBA...
hivi kuna tatizo gan ukila nyama iliyochinjwa na muislam?? Mbona toka zaman kulikuwa shwari tu kwa utaratibu tuliokuwa tumejiwekea, KAMA ISHU HII INA MKONO WA MTU KUTAKA KUONA WAISLAM NA WAKRISTO TUNAPIGANA KWA TATIZO DOGO mwisho wake tutaishia kama kongo
Sensa ina lengo kubwa la kupata takwimu juu ya watu wote kuhusu hali ya kiuchumi, kijamii na kidemografia ambapo ktk takwimu za elimu itasaidia serikali kujua kiwango cha elimu kwa watu wote km kusoma na kuandika, level ya elimu. Pia takwimu za Umri zitasaidia kujua umri wa watoto wanaostahili...
Possible kuna software ina run pasipo kui-comand so hiyo n virus unatakiwa uwe na antivirus strong na iwe up to date then u scan compuper mara kwa mara au kama window yako n genuine download Microsoft Security Essential through microsoft.com then update na ku scan kama kawaida
not later than 7th August 2012
NATIONAL UNV INFORMATION TECHNOLOGY SPECIALIST
Tanzania Chamber of Commerce, Industry and Agriculture (TCCIA)
The United Nations Volunteers is the UN organization that supports sustainable human development globally
through the promotion of volunteerism...
Hayaaa vijana naona wengine eti hoi wakiona mguu wa bia vp sasa ana huo mguu wa bia lakini HESHIMA, UAMINIFU, CARE ni zero kwake je hapo bado utapapenda?????? Msichana aweza kuwa hana huo mguu wa bia sijui, shape kali hana ila reception yupo pouwa plus heshima anayo, mchaji wa Mungu hapo mi ndio...
Tatizo wapinzani hawakubali matokea wao wamekali kuponda tu mfano huyu Anselm kwa kuwa yeye ni Yanga basi kashajijenge itikadi ya kuto kuikubali Simba hata ikifanya mazuri ndio maana soka letu linakuwa limejaa mdomoni lakini uwanjani hakuna kitu...Aaaaghrrrrrr TUBADILIKE
1. Hapo ktk kila mraba kuna pembe tatu 8 hivyo jumla zinakuwa 8x4=32..
2. Mraba mkubwa wenye miraba midogo minne una pembe tatu 12...
Hivyo kuna jumla ya pembe tatu 44.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.