Huyo mim kabisa mpaka watu huwaga wanauliza kama nitakuja kuoa kweli na huu upole wangu!, but hiyo ni nature hatuwez kupingana nayo kikubwa mvumilie tu
Write your reply...hizo sababu hazina mashiko kabisa, pamoja na magumu ambayo wanaume tunapitia lakin asilimia kubwa tunajivunia jinsi tulivyo, hakuna mwanaume ambaye hutaman kuwa mwanamke hata siku moja wewe utakuwa unamatatizo yako binafsi
Haya ni matumiz mabaya ya pesa za uma, hizo hela si zinatosha kabisa kuweza kujenga kisima cha maji mahali flan..alafu bado tunajiuliza why tuko masikini!
Mtoa mada uko sahihi tatizo wabongo ni wabishi sana na ndo maana hata viongoz wetu manatupelekesha tu wanavyotaka sababu wanajua sisi ni kama kondoo yaan (zero brain). Kutwa tunawaza ngono tu sasa unadhan kwa akili kama hiz tunaweza kuitoa ccm madarakani achilia mbali kupata katiba!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.