Salaam,
Nianze kwa kutoa background fupi kati ya mimi na mzazi mwenzangu.
Ni mwanamke ambaye nimezaa nae mtoto mmoja, kipindi amejifungua alikuwa akiishi kwa wazazi wangu mkoa tofauti na ninaoshi (nilifanya hivyo kuwa kuwa nilikuwa kwenye utafutaji, hivyo sikuwa mtu wa kutulia).
Baada ya...
Katika maisha hakikisha haujilinganishi na mtu mwingine utaumia sana, bali jilinganishe wewe mwenyewe. Hakikisha wewe wa jana sio wewe wa leo, na wewe wa leo usiwe tena hivyo kesho
Ushindi huu ukawe somo kwa mabingwa wapya wa robo fainali 2022/23 CAF "Makolo SC".
Msimu uliopita walitumia hadi uchawi ili kufuzu nusu fainali ya kombe la shirikisho. Lakini waliishia pale uwezo wao ulipofikia, walitwaa ubingwa wa Robo fainali usiokuwa hata na medali 2021/22.
Msimu huu...
Mfa maji haishi kutapatapa, wahenga walishasema
Baada ya Simba kufika hatua ya robo fainali ambapo tunajua kwamba hapo ndipo uwezo wao ulipoishia kwa misimu kadha.
Sasa wameona kuendelea nusu fainali ni jambo ambalo hawaliwezi hivyo wanaanza kujigamba kwamba wamecheza kiume, mara wapewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.