Indoraptor
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 248
- 504
Mfa maji haishi kutapatapa, wahenga walishasema
Baada ya Simba kufika hatua ya robo fainali ambapo tunajua kwamba hapo ndipo uwezo wao ulipoishia kwa misimu kadha.
Sasa wameona kuendelea nusu fainali ni jambo ambalo hawaliwezi hivyo wanaanza kujigamba kwamba wamecheza kiume, mara wapewe heshima, imefika mahali sasa wanaanza kujilinganisha na Yanga ili tu waone wamefanikiwa kwa kuwa Yanga alitolewa mapema Champions league.
Yaani kushindwa kwenu kunahusiana vipi na Yanga?
Kipimo chenu cha mafanikio kisiwe Yanga, pambaneni na hali yenu?
Make your own race, Simba ya 2023 isiwe Simba ya 2024 sio kuja kujilinganisha na Yanga, mtakuwa mnaishia hapo hapo robo kisa Yanga hajafika mkajiona mmefanikiwa
Nani aliyewaambia aliyeishia robo fainali ndo kafanikiwa? Yaani Hata medali tu anayopewa mshindi wa pili hampati alafu mnataka heshima? "Funny"
Baada ya Simba kufika hatua ya robo fainali ambapo tunajua kwamba hapo ndipo uwezo wao ulipoishia kwa misimu kadha.
Sasa wameona kuendelea nusu fainali ni jambo ambalo hawaliwezi hivyo wanaanza kujigamba kwamba wamecheza kiume, mara wapewe heshima, imefika mahali sasa wanaanza kujilinganisha na Yanga ili tu waone wamefanikiwa kwa kuwa Yanga alitolewa mapema Champions league.
Yaani kushindwa kwenu kunahusiana vipi na Yanga?
Kipimo chenu cha mafanikio kisiwe Yanga, pambaneni na hali yenu?
Make your own race, Simba ya 2023 isiwe Simba ya 2024 sio kuja kujilinganisha na Yanga, mtakuwa mnaishia hapo hapo robo kisa Yanga hajafika mkajiona mmefanikiwa
Nani aliyewaambia aliyeishia robo fainali ndo kafanikiwa? Yaani Hata medali tu anayopewa mshindi wa pili hampati alafu mnataka heshima? "Funny"