Habarini wana jF,
Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 22 ninasumbuliwa na tatizo la kuwa na hamu ya kufanya tendo la ndoa kila muda.
Nililikuwa naomba msaada wa dawa inayoweza kuniondolea hamu ya tendo la ndoa ambayo haiwezi kuniathiri nguvu zangu.
Nawasilisha kwenu mchango wako ni muhimu...
Habarini wadau natumaini muwazima
Niende mojakwamoja kwenye mada
Mimi nikijana mwenye umri wamiaka 27 nina mpenzi wangu ambae tumekubaliana kuoana lakini haniamini kua nampenda anahisi kuwa nina mtu mwingine tumekuwa na ugomvi mienzi miwili iliyopita kutokana na kutokuaminiana .
Ila tumefikia...
Habari za SAA wana jF nilikua ninashida .Leo asubuhi nimeamka nkajikuta nmetumia mswaki wamwenzangu pasipo kujua sababu inafanana nayeye nimgeni alikuja tuu Jana alafu kutokana namaisha yasasa hakuna kuaminiana Magonjwa mengi ,alafu zaidi Mimi kwenye fizi huoga nkipiga mswaki dam zinatoka...
Habari za Saa wana jf Mimi nikijana mwenye umri wamiaka 21 ninasumbuliwa natatizo lakuwa na uume mkubwa kila ninapo kuwa wakati wa faragha nampenzi wangu analalamika anaumia nisiingize yote Mimi nkajua labda nakosea katika kumwandaa Ila hapana Nmejaributena kutafta ma jimama manene yenye umbo...
Habari za hasubuhi wadau natumaini wazima
Uzi nilikua niulete kwenu siku nyingi lakini nikakosa muda
Achaniandike kwaufupi stori nyingi zinachosha, kamaunashindwa kurudi tendoni mara ya pili basi fanya hivi:
1* Tumia ungawasoya vijiko viwili kilaunapo kunywa chai au uji muda wowote au...
Habarini wajamvi natumaini muwazima
Mimi nkijana mwenye umri wamiaka 20 najishughulisha nambishe zakuuza phone accessories na vitu vingine vya electronics ninamda wamwaka mmoja tokea nianze kazi hii sinaoffice ila Nina group la watsap ambalo nimewaad wanachuo wavyuo mbalimbali ambapo natuma...
Hivi katazo la mifuko ya plastiki ni kwa mifuko myeusi au? Sababu sasa hivi naona vimekuja vimfuko vya plastiki vyeupe ila havina mikono, je vina utofauti gani na vyeusi au rangi na tunapoelekea vitawekewa mshkio
Hebu tujadiliane hili janga sababu tunarudi kule tulipotoka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.