1. Acha kunywa chai asubuhi
2.Mchana Kula wali au ugali na majibya kutosha
3. Usiku kula matunda kabla ya saa 2 au usile kabisa
Mimi nimetoka 84.5kg sasa nina 67.7kg Almost kwa miezi 6
09. Ni ipi hukumu ya kuvuta sigara na kuiuza?
Swali 09: Ni ipi hukumu ya kuvuta sigara na kuiuza?
Jibu: Kuuza sigara ni haramu na vivyo hivyo inahusu kuinunua, kuiuza, kuwakodishia maduka wale wauzaji kwa sababu kufanya hivo maana yake ni kusaidiana katika dhambi na uadui. Dalili ya uharamu...
Mkuu fanya Settings kwenye WhatsApp messenger yako ambapo hakuna yeyote atayeweza kukuunga kwenye group. Binafsi nimewakomesha kwa hilo. No stress za michango!
Tofautisha kati ya UISLAMU NA WAISLAMU. KInachozungumziwa hapa ni UISLAMU. Jiulize kwani hakuna WAISLAMU walevi,wazinzi,wachawi? Kisha tujiulize UISLAMU unasemaje kuhusu Ulevi,uchawi,uzinzi n.k. Kifupi ni kuwa UISLAMU UKO KAMILI lakini WAISLAMU wanamapungufu yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.