Search results

  1. AnthonyGasper

    Tanzania tupaze sauti kupinga mfumo wa vifurushi vipya

    Kwani historia ya Mheshimiwa ishaanza kufundishwa. Je Mheshimiwa day teyari ishakuwa authorized Vipi lile sanamu pendwa Siamini kama wamepandisha vifurushi kabla????
  2. AnthonyGasper

    Simu nzuri kwa gharama ya laki tatu (300k)

    Hivi kweli unaanzaje kununua Oppo sjui infinix
  3. AnthonyGasper

    The genius family

    Tuchapeni kazi kweli kweli
  4. AnthonyGasper

    Naomba uzoefu wa maisha ya Uganda

    Hiyo nauli tu ni mtaji
  5. AnthonyGasper

    Kuna ishara kabla ya kufikwa na mauti

    Sasa ni kupatwa na jambo lisilo la kheri au umauti
  6. AnthonyGasper

    Naomba kufahamu kwa anayejua wapi 'Cheese'/Jibini zinauzwa

    Karibu mkuu, ila nipo mkoani Morogoro. Tunatengeza cheese(Jibini) aina zote na mikoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa.
  7. AnthonyGasper

    Shahada 4 vs. Akili ya kuzaliwa

    Intellect sio akili mkuu. Pia hakuna mtu ambaye hana akili
  8. AnthonyGasper

    Mambo niliyojifunza kuhusu maisha nikiwa nimeshachelewa

    Nahisi una jambo zuri lakini uandishi wako bado unatatiza.
  9. AnthonyGasper

    Sijaelewa hapa kwenye requirements za TCU na Mzumbe, naomba kueleweshwa

    Hujui unaongea nini kwanini sasa course zipo faculty mbili tofauti na isiwe moja tu.
  10. AnthonyGasper

    Sijaelewa hapa kwenye requirements za TCU na Mzumbe, naomba kueleweshwa

    Lakini pia kama hautaridhika nikuunganishe na watu wanatoa ushauri bure kabisa kuhusu careers mbalimbali wapo Mzumbe kampasi zote.
  11. AnthonyGasper

    Sijaelewa hapa kwenye requirements za TCU na Mzumbe, naomba kueleweshwa

    0652504116. anaitwa Costanstine , mpigie jitambulishe vizuri mueleze haja yako. Ni mtu poa sana atakusaidia jamaa kamaliza BAF.
  12. AnthonyGasper

    Sijaelewa hapa kwenye requirements za TCU na Mzumbe, naomba kueleweshwa

    Dogo kama unataka kusoma hiyo course tulia kwanza tafuta watu wa career hiyo wakupe A, B, C. Ukikosa nambie nikupe namba za Graduates wa hiyo BAF na course nyinginezo za huko SOB Me nimemaliza mwaka huu Mzumbe na bado nipo viunga hivi I'm speaking experience not references.
  13. AnthonyGasper

    Sijaelewa hapa kwenye requirements za TCU na Mzumbe, naomba kueleweshwa

    yaan hesabu ya Baf au Bba ifanane na Bhrm?? Qms 100 na Qms 102 zinafanana kweli we jamaa. Embu kama huna taarifa tulia tu usimpotoshe dogo, tena usije ukamwambia hata ile introductory account ya huko Bhrm na Baf ni sawa.
  14. AnthonyGasper

    Sijaelewa hapa kwenye requirements za TCU na Mzumbe, naomba kueleweshwa

    Hapana sikutishi maisha ya kusoma huku unawindwa kaka hata kama una uwezo utaonekana mjinga ndio chuo kinavyotaka Sapu ziwe nyingi Disco ziwe nyingi ili chuo kionekane kigumu. Hao waliosoma ECA, EGM bado wanasumbuliwa. Kama una interests na Coz za Biashara omba hata Marketing au Entrepreneur...
  15. AnthonyGasper

    Sijaelewa hapa kwenye requirements za TCU na Mzumbe, naomba kueleweshwa

    Chuo kina complications sana. Kwa HKL ndugu nakushauri angalia vyuo vingine hiyo BAF ya mzumbe ni usumbufu na presha tu. At least Economics au Logistics utaweza handle ila hiyo BAF ni complicated lecturers+Complicated Accounts na kuna Maths wanaiita QMS asee jitathimini kwanza Mkuu
  16. AnthonyGasper

    Biashara ya kuuza genge

    Unajua kuhusu kitambulisho cha mjasiliamali mkuu ada yake ni 20000TSH kwa mwaka omba usiingie kwenye 18
  17. AnthonyGasper

    Fundi wa kawaida VS Mkandarasi yupi ni bora?

    Fundi Michael and Eng.Mfugale
Back
Top Bottom