Huu ni mwaka wa 10 nikiwa na mke wangu na tuna watoto watatu, tunaitana Dear miaka yote tangu tukiwa wapenzi mpaka sasa, iwe mbele ya ndugu zangu au ndugu zake hata wazazi na sijawahi kuhisi vibaya naona poa tu hata watoto wetu wamezoea, sijawahi kumuita mama flani au kuitwa baba flani au hata...
Story yako umeiharibu, umejisifia sana badala ya kuelezea kula kimasihara unatuletea habari za bonge la TV,bongo la kitanda sijui vitu gani sasa inasaidia nn jamaa yng
Hao viongozi mbona wanaendelea kuhojiwa na juzi Takukuru walitoa taarifa kuwa wanaendelea kuwahoji waliokuwa viongozi na viongozi wa sasa akiwemo mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini? Na ilisemwa Mbowe alikuwa hajaitwa kuhojiwa kwakuwa alitoa taarifa ya kuwa nje ya Nchi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.