Habari Ndugu zangu?
Nipo Dodoma (Makao Makuu ya Tanzania) kwa miezi kadhaa sasa.
Kama una Swali lolote kuhusu Dodoma, unaweza kuniuliza.
Nipo tayari kujibu Maswali yenu.
Kipengele (i) na (ii) kina gusa Watu wengi Sana mpaka wenye Uchumi mdogo kabisa.
Bora wangeacha Faini ya Bodaboda iendelee kuwa 30,000/= kwa kila Kosa.
Aisee... Tembo ni mtamu japo ladha ya Nyama yake inatofautiana kutoka eneo moja la mnyama hadi lingine.
Kwa Watu wa Ruvuma hiyo ni fursa ya Uwindaji haramu na kula Nyama ya Tembo kwa bei poa.
TANESCO ni genge la Wahuni, kule DODOMA eneo la KIKOMBO na MSALATO tangu 2018 wametwaa Ardhi ya Wananchi na leo hii hawajawalipa.
Wanakuja na Mbwebwe nyingi kuwa FEDHA ipo kumbe hamna kitu.
Narudia tena TANESCO ni WAHUNI.
CCM ikiondoka madarakani watu wa Dodoma Mtaacha kudhulumiwa na mtalipwa Mkuu.
Hebu fikiria tangu Mgogoro wa Ardhi Msalato umeanza mmewahi kumuona Mwenyekiti wa Mtaa, Mh. Diwani, Mh. Mbunge au Mkurugenzi wa Jiji?. HATA SIKU MOJA.
Waziri wa Ardhi Mh. Lukuvi utasikia yupo Mwanza, mara Arusha, n.k...
Sitaki kuwa MNAFIKI, kwangu Mimi Hayati Magufuli alikuwa na Sifa zifuatazo;
1. Mtu aliye nyang'anya TUNU ya UHAI ambayo Mwanadamu alipewa na MUNGU.
2. Mtu aliyekuwa na Kiburi na Jeuri.
3. Mtu mwenye UPEO Mdogo wa Kudadavua mambo, hasa ya Dunia ya Sasa.
4. Mtu mwenye wivu na husda na...
Mkuu Generalist,
Hatupingi, Ila kama Mh. Waziri ameweka wazi PRODUCTION COST @UNIT basi pia aweke wazi SELLING PRICE @UNIT baada ya Umeme wa Bwawa la Mwalimu Nyerere Kuanza kufanya KAZI.
Naomba nikuvumilie tu,
Hoja yangu ni kwamba kama Mh. Waziri amesema Gharama ya Kuzalisha Unit 1 ni Tshs 37.
Je huo umeme unaozalishwa utauzwa Kwa Tshs ngapi kwa Unit ikiwa ni Bei nafuu kwa mtumiaji wa Mwisho?
Ninawasalimu wote,
Waziri wa Nishati Dkt. Kalemani amesema Bwawa la Nyerere litajazwa Maji Novemba 15 mwaka huu wa 2021 na ameeleza gharama za kuzalisha umeme kwa kila chanzo kuwa,
• Maji ni shilingi 36 kwa unit moja.
• Nyuklia ni shilingi 65 kwa unit moja.
• Solar na upepo shilingi 103 kwa...
ZAMANI, walikuwa wanachukua katika Makundi haya;
1. Waseminari
2. Skauti
3. Watu wenye ujuzi Fulani.
NB:
Pamoja na Makundi hayo yote ilikuwa ni lazima uwe na IQ KUBWA na uwezo Mkubwa pia wa KUTUNZA SIRI.
SIKU HIZI, wanaangalia sifa zifuatazo;
1. Mtoto wa WAZIRI.
2. Mtoto wa Mbunge.
3...
Mkuu johnthebaptist:
Unafananishaje UHAI wa MTU na Mali.
Chukua Sekunde chache na ujaribu kutafakari kipi bora kwako au Kwa Familia yako, ROHO au MALI?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.