Kwani rais wa nchi ni oxygen? Anaweza kuwa kila mahala katika uso wa sayari ya dunia ya nchi yake. Pinda na Nchimbi wapo huko. Unataka sirikali yote ihamie Ntwala ili iweje? Hii nchi ni taabani hata kije chama gani mambo yaleyale. Si juzi tu mmetuambia vijana wa CHADEMA UDOM wamekwiba mahela...
Nafikiri ni bora hoja kupingwa kwa hoja. Mwenye hoja zizazoweza kupinga hoja zao atoe hoja. Nimewasikiliza jamaa wanayosema inaonyesha wameyafanyia utafiti hasa. Kama kuna mpinga hoja zao naye azilete. Tupime na kuamua nani ni msema kweli na nani ni mrongo
Je wale mapadre wa Sumbawanga waliokuwa wakifukuza waumini wanaoishabikia CCM ni maajenti wa CCM? Mbona Chadema haikutoa tamko kukanusha hilo. Huku kwetu Musoma kila Jumapili ukienda Kanisani Padre anahamasisha tuchague Chadema na Dr Silaa. Hata pale Dodoma kuna kanisa moja Padre alikuwa kabla...
Ndugu yangu umeshahudhuria interviews za kazi ngapi? Ukikutana na wanafunzi wa vyuo vingine utacheka ana first class degree hata kutunga sentensi moja kwa kiswahili hawezi hicho kidhungu ndo usiseme
Vyuo binafsi vipo kibiashara zaidi. Isitoshe wavivu wa kuajiri. Wanatumia walimu wa vyuo vya umma kufundisha. Inakuwa vigumu kwa walimu kupanda punda wawili kwa wakati mmoja. Kwa kuwa vyuo binafsi wanatakiwa kupasisha wanafunzi huko utakuta first class na GPA za ajabu. Lakini kichwani hamna...
Umesahau ya kule Sumbawanga na Mpanda? Padre aliwafukuza waumini kanisani kwa sababu ya kukataa kushabikia CHADEMA. Uchaguzi wa 2010 ulikuwa na makubwa bwana viongozi wa Kanisa Katoliki walikuwa wakiwapa maelekezo waumini kila kabla na baada ya misa kupigia kura CHADEMA tena na vipaza sauti...
Hii tugawane. kila mtu akae kwao. Wachaga waishie Moshi, Wamakonde marufuku kuvuka Mbwenkulu, Wasukuma waishie Sekenke, Waha Mwisho Malagalazi, Wamasai hukohuko Ngolongolo. Inakuwa taabu sasa kila mkoa wanapokwenda hawa wafugaji ni vurugu tu. Kwa nini waingilie maisha ya wakulima wakati ardhi...
Tatizo letu wabongo ni kujiona wajuzi wa kusema. Vyuo Vikuu vyote vinasimamiwa na TCU. Wao ndio wenye uwezo wa kupima viwango vya ubora kutokana na vigezo walivyoweka. Publications si kipimo pekee cha ubora. Kuna jamaa yangu kanambia kuwa wafanyakazi wa Chuo cha Tiba cha UDOM wanatoa huduma ya...
Taarifa zilizonifikia hivi punde zinasema kuwa huko Dodoma wanachuo wa St. Johns waandamana kupinga vitendo vya wizi na ubakaji vinavyofanywa na vijana wa kihuni pembezoni na ndani ya chuo hicho. Aliyepo Dodoma tunaomba taarifa zaidi
Tusiwahukumu Wagambia kwa kudhani sisi tunajua zaidi ya kwao. Inawezekana kabisa wanafanyakazi wanajihusisha na ujasiria mali na hivyo kupewa siku tatu za kufanya shughuli zao. Hapa kwetu wanafanya kazi siku tano mshahara kiduchu na wafanyakazi wanaishia kufanya ufisadi tu. Kama wafanyakazi...
Mtoa mada kuna maswali ameacha
1. Hiyo ndoa ni mpya au ya siku nyingi
2. Kuna watoto ndani ya ndoa hiyo?
Kama ni ya siku nyingi na kuna watoto, si rahisi kufunga virago na kuondoka kama wengi wanavyoshauri. Kwanza ni kumueleza ukweli kuwa amegundua kamchezo kake. Pili kutengana vyumba...
Kama wazaram hawasomi basi tungeona wasukuma, wahaya, wamakonde au wazanzibari. Skuli za Tumekuja, MWanakwerekwe, Jambiani, Tunguu, Makunduchi hakuna mchaga lakini wanyamwezi wapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.