Ndugu wasomaji,
Nimeamua sasa kuachana CRDB bank kutokana na makato yasiokuwa na Tija yoyote. Najiuliza, hivi ndio kusema kuweka fedha bank ni utajiti?
Makato yao yanaumiza sana na hayana uhalali wa aina yoyote, haisadi sekta ya bank kukua, mitaji kukua, kukopesha nk.
Nadhani ni wakati wa BoT...
Na mbado! Mashetani wapo kwenye usukani. Mimi binafsi naona ile mbegunya msoga ndio inayotesa watu mpaka leo. Lakini ipo siku hatutarudi kwenye haya maujinga na upumbavu mwingi. That day will come!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.