Watu nakumbuka enzi zilee mdogo wangu aliagizwa soda fanta 2 za wageni yeye akaleta moja.alafu akaifungua jikoni akaigawanya mara mbili akachanganya na maji akawaletea wageni mama kucheck hivi akaguna mmh hizi soda vipi hizi leo mbona imepauka rangi jamani kumbana vizuri akasema nimetia maji lol.
Jichukulie wewe ndo hicho kichanga upo tumboni mwa mama yako.na baba yako anataka akuchinjie mbali Ungejisikiaje?
Katubu dhambi ya kutaka kuuwa kiumbe ulichobarikiwa na Mungu Kuna watu wanakesha wanalilia watoto.Ya pili katumbu dhambi ya kuzini kabla ya ndoa.
Huna Mamlaka ya kukatisha uhai wa...
Pole sana bidada.ila hili ni tatizo letu si wadada japo hatuliongelee kwa undani zaidi.ila hata mie uwa ni muhanga wa tatizo hili.linanitokea sana naweza kusahu kwa miazi adi miaka.alafu inajirudia tena naendelea na mchezo huu.
Ila kuna tatizo japo sio kubwa sana kwa upande wangu.Ninapokuwa...
Ipo kweli na lidandasi limepita 50 out.ila yeye kaondolewa kabla ya lindandasi.mijihelaa ilimnogea jamani na barua ya kufukuzwa kazi alipelekewa home akagoma kupokea.wakamlazimisha na kusaini kupokea.ween unakataa kupokea barua yako mbona pesa za manuva unapokea.
Makubwa Kafukuzwa na Ijumaa kakamatwa na polisi.adi jana alikuwa anasota rumande jamani omba Mungu asikupe uroho na tamaa ya pesa.Maana huyoo mama alikuwa na kila kitu na mme wake ni mwanajeshi.ila safari hii PPF wamemkamata utamu.28Mls zimuponza.Watatajana vizuri pana chezea pesa za mafao ya watu.
Yaani wewe kakangu Kikungu acha tu
adi mama alikuwa anatukumbusha kuwafata watoto.It must have been love pana chezea na yule mama(Marie) aliutendea haki.Pia Sinéad O'Connor nothing compares to u huu nao naupenda.
Ila siku hizi toka yule bushman (x) tutengane imebaki Rose Mhando nibebe nibebe...
Lara 1 inategemea kuna wengine ni alcoholism na wanapenda mdododooo vile vile.Jirani yangu ni alcoholism na kila siku utasikia mikelele nyumbani kwake anagombana na mke wake kisa mpododoo jamaa kawa adicted na kudinyanaa.unaambiwa anaweza kufanya zaidi ya mara5 kwa siku kama kalewa.
Nazani pia...
Wewee Kakangu wewe mchokozi kweli.
Unanikumbusha those days na X wangu.Watoto wote kwa bibi yao.tunabaki wenyewe.
Kitu cha candlelight Dinner tunamalizia na correctiona yetu.
careless Whisper George
Akiss from Rose Seal
Luv Divine seal
Baby I luv u-R.kelly n Jlo
all cried out allure
No 1...
Pole Shostito.Mtu ambae hayupo kwenye ndoa sio rahisi kutambua ugumu unaokupata.Na usipende kushitaki kwa wazazi mara kwa mara wala usiwape nafasi ya kujua wewe na mme hamlali chumba kimoja.Unaweza kukaa kimya na maisha yakaendeleaa mufanye kama Housemate wako kwa mda ukimsoma kama...
Huyoo nae Bukuku mie nilishamtoa kwenye orodha ya waimba nyimbo za injili baada ya kusikia yeye na Mheshimiwa EL kijana ya Richmond wana mambo yaleeeee kwa sita kwa sita.
nikajitoa kwenye kundi la masahabiki wake.
Pole sana.
mme wangu alikuwa anakoroma mtaa mzima ulikuwa unamtambua si mchana si usiku.mwenzangu adi nilinunua kifaa cha kuweka masikioni nisisikie sauti ili walau nilala na mie.Ndo nikapata ushauri nikamwelekeza adi leo ni mwaka wa pili sijamsikia kukoroma tena.
Mkilala usiku mwambie awe...
Habari za leo wana Jamii.
Naomba msaada wako wa kunielewesha.
Gari langu lilipata ajali.kama unavojua ukipata ajali hapa Dar inakuwa dili kwa wenzetu vibaka.
Wakachukua kadi la gari.hati ya udereva na vitu vingine vingi tu.
Gari lilikuwa na hali mbaya sana ikabidi likatwe mbele na kunishauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.