Fellows!
Kitu kinachonikumbusha Jeshi ni afande mmoja alikuwa anaitwa afande Kashandago kambi ya Msange Tabora alikuwa bonge la ---- huyu jamaa lakini duh! Alikuwa anatuenyesha kweli huyu jamaa na alivyo tu alikuwa anac
hekesha. Good experience.
Wana JF, napangisha nyumba maeneo ya Mtoni Kijichi itakuwa wazi kuanzia 1/5/2013, kama unaelekea Neruka Sec. Vyumba 2, sebule, valanda,bafu, jiko, choo na nafasi kubwa kwa nje - parking. Kodi ni tshs. 170,000/- na ni miezi 6, maelewano ruksa. Contacts. 0712 477976.
Wana JF, napangisha nyumba maeneo ya Mtoni Kijichi itakuwa wazi kuanzia 1/5/2013, kama unaelekea Neruka Sec. Vyumba 2, sebule, valanda,bafu, jiko, choo na nafasi kubwa kwa nje - parking. Kodi ni tshs. 170,000/- na ni miezi 6, maelewano ruksa.
Contacts. 0712 477976.
Wana Jamii wenzangu!
Nyumba ya vyumba viwili, sebule, dinning jiko bafu na choo itapatikana kuanzia May 1 kwa mwana Jamii jiweke tayari if ur in need! Kodi ni Tshs. 170,000 na ni kwa miezi sita, nafasi ya kutosha. Nijuze via 0712 477976.
Asanteni.
Wana Jamii!
Nyumba ya kupanga vyumba viwili vya kulala, Sebule, Dinning,Choo na bafu inapatikana, jirani na Mtoni Kijichi CCM parking ya kutosha kodi ni tshs.170,000 kwa mwezi na kodi ni miezi sita makubaliano yapo. Contact 0712 477976.
Nyumba ya vyumba ya kupanga inapatikana, vyumba viwili vya kulala, sebule, dinning, jiko, choo na bafu. Tuwasiliane kwa namba 0712 477976, ulizia geoffrey.
Wadau, mimi ni operator wa hizo machine Reach/Counter balance trucks naomba mdau ambaye anafaham wapi naweza kupata nafasi ya kuzi operate anijuze tafadhali, namba yangu ni 0712 477976
Asanteni.
Hello Wadau!
Nyumba inapangishwa maeneo ya Mbezi Beach jirani na New Bagamoyo Rd - 150 meters approx. 300 usd per month, 12 month rent upfront. A self contained one B/Hse.
Contact 0712 477976.Thks.
Wadau nina shida ya kujua hatua za kufuata mpaka niweze kuwa na Website yangu kwa ajili ya kufanya au kutangaza biashara mbalimbali katika website hiyo. Mwenye kujua Please!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.