Ni boyfriend wangu ambaye nimedumu naye kwa muda mrefu,amenisaliti mara kibao na tunaachana akija kuniomba msamaha,Hata kama nina hasira kiasi gani najikuta nimemkumbatia na kumsamehe kbs.Sijui kwanini hali hii hunitokea
ni kwa mujibu wa tangazo jipya linaloonyesha watumia madawa ya kulevya wakipinga uchangiaji wa sindano wanapojidunga madawa hayo,..tangazo hili linaonyesha kuunga mkono matumizi ya madawa hayo huku likipinga uchangiaji wa sindano.
Kuna tabia ya mawifi yani dada wa bwanaharusi na mama yao/ mama mkwe kupenda kuingilia maisha ya ndoa ya kaka yao/ mwanae mara wamsakame wifi kuwa mbaya, mchoyo nk. Ndo mana ndoa nyingi zinayumba. Najua wengi humu jf ni mawifi na mama wakwe hebu elezeni kwanini mnafanya hivi?
Wao wanajua kutafuta hela na kiukweli hela wanazo lakini kwenye mapenzi ni 0, hata kutongoza wengi wao hawajui wanajua kuhonga tu, na wanawake wanawakubali sababu wanapewa matumizi yakutosha ila wengi wa wake zao au magirl friend zao wana wanaume wapembeni wa kuwaridhisha kimapenzi. USIBISHE...
si swala la ukabila wala nini ni swala la ukweli halisi, hawa watu wanapenda hela balaa yani wako tayari kwa lolote ilmradi hela iwe mikononi mwao hasa mkiwa mmeshachumachuma vijimali utaipata au ufe au mtengane mgawane atafute dogodogo, alafu niwakorofi balaa hawafai aisee labda aolewe na...
Dah! kila nikimwangalia ongea yake na vtendo vyake nikimweka group la wakaka hafananii, la wadada haelekei yani yuko kama gia 1 hakai 2 hakai 3 anafyetuka ndo mana nimeuliza naye anakameruniwa? Mwenye taarifa atujuze
My love figga Fourgive me cause i never meant to hurt you, ni hasira na wivu ndo vilisababisha, nakuomba sana mpenzi wangu unisamehe kwani nimekumiss ile mbaya and it driving me crazy, i cant take this much longer, my love forgive me. I LOVE YOU VERRY MUCH.
I gave my heart my soul my body and my trust, i loved you more than everthing, sijawahi kukucheat hata siku 1. But now umeamua kunitenda unatongoza mwanamke JF bila kunihurumia, kwanini mpenzi wangu? Nimekukosea nini?. Naumia sana, sijawahi kuumia hivi.
,MY LOVE FIGGANIGGA REMEMBER THAT I LOVED...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.