swali nje mada,wewe ndiye yule Jack Beur wetu wa zamani au ni mpya,ulichangamsha bongo zetu sana pia tulikumiss hoja zako sana kama vpi lete zingne mpya.watch out huku pia wanafuatilia
Mbio za kimataifa za riadha ambazo ni maarufu kama Mount Meru Marathon zinafanyika Arusha kila mwaka na huvutia washiriki 3000 na mashabiki 10000 mwaka huu zitafanyika mwezi wa Septemba 2016 zinaendelea vizuri na maandalizi ambapo mwaka huu waandaaji wameboresha zawadi na vitu vyote vya msingi...
Ni kweli huyu Rais wa Tff utendaji wake sio mzuri.Kwa sababu tangu aingie imekuwa hasara baada ya faida.Hili linaniuma sana Tanzania kufungwa goli 7 na Algeria sikuona sababu kabisa alitakiwa awajibike yeye kwa maamuzi yake yaliyotughaharimu.
Sababu yangu ndio hiyo kwanini Rais wa Tff hafai kuwa...
Hapana kuhusika kwa nyalandu hapo.sheria za tanzania zinaruhusu kuwinda ivo tgt aliruhusiwa kisheria kama mwekazaji kulinda iyo nyalandu alitembelea tu wawekezaji ndio ikapigwa picha.hilo gazeti la jamhuri haliko sawa hapo.nb.nafahamu utalii wa kiwindaji .ndege iliyotunguliwa ni ya patrol kama...
ibilisi, pole hilo jina lako pia ubadili sio zuri kwa imani na utashi ulioumbwa nao.fahamu kuwa tamasha hilo Clouds tv na radio HAWAHUSIKI kabisa.Kwanini, clouds hapo ni wadhamini muandaji ni msama promotions lawama peleka huko ila ufahamu pia msama anatumia gharama kuandaa kama vile kualika...
Art,Napenda kukufahamisha malalamiko yako si kweli.Nimekuwa natumia benki zote za nmb hapa arusha mjini tawi la market linafanya excellent.daily natumia huduma zao kupitia hapo.we unakuja benki mara chache but kama ni daily utaelewa.umehukumu haraka fanya utafiti matawi mengine.ila pole kwa...
Mbio zitafanyika tarehe 04.10.2015 badala ya tarehe 27.09.2015.Hii ni kutokana na mambo yaliyo nje ya uwezo wetu.
tembelea www.mountmerumarathon.com au piga 0757555777
Mbio zitafanyika tarehe 04.10.2015 badala ya tarehe 27.09.2015.Hii ni kutokana na mambo yaliyo nje ya uwezo wetu.
tembelea www.mountmerumarathon.com au piga 0757555777
Mbio za Mount Meru Half Marathon zitafanyika Arusha tarehe 27 September 2015 kuanzia The Arusha Hotel na kuishia Sheikh Amri Abeid Stadium.
Kwa maelezo zaidi piga 0757555777, pia tunatafuta wadhamini na shareholders!
Hapo nunua dish la futi 6,utafurahi maana utapata zaidi ya emmanuel tv.dikoda za kwetu hazina ila digitek pekee na bado huko hawajafika na hawana dish.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.