Kama ungesubiri hizo tafiti za hao wanasayansi wako zifike mwisho alafu ndio utuambia ilikuwaje mpaka wakatokea wanyama na mimea hapa Duniani ingekuwa vizuri
Kuna siku niliwahi kufikiria Kwa Nini Bakhresa asinunue boti itakayoweza kutumiwa na wafanya biashara kupeleka matunda nchi za Kiarabu
Unajua haya mambo ya ndege wengine wanaona shida
Hamuwezi kuwa vibaraka wa Marekani na Uingereza alafu msiwe mashoga
Ushahidi huo hapo kuwa serikali ya Israel Imeruhusu ushoga
LGBThaki katika Israeli zinachukuliwa kuwa zilizostawi zaidi katika Mashariki ya Kati. Ingawa ngono ya watu wa jinsia moja ilihalalishwa mwaka wa 1988, sheria ya...
Wewe upo Dunia gani ?
Same-sex couples will be formally recognized by Israel’s Defense Ministry under the laws pertaining to families of fallen IDF soldiers, Defense Minister Yoav Gallant confirmed on Monday afternoon.
The Defense Ministry interprets the laws of families of fallen soldiers as...
Kwa Nini naichukia Marekani
1) Nchi ambayo inataka kuimaintain super power yake Kwa kuyadhuru mataifa mengine
Imeanzisha vita vya Ukraine na Urusi na Sasa inachochea vita vya Israel na Iran ikiamini kwamba mataifa yenye nguvu yakiingia vitani yatadhofika na yeye ataendelea kuwa super power
2)...
Bwawa la Nyerere Lina mitambo nane umewashwa mtambo mmoja tu umeme tayari umekuwa mwingi Je ikiwashwa yote itakuwaje?
Na huo umeme utakuwa unazalishwa under zero production cost
R.I.P Magufuli
Sisi wenye akili nyingi tulikuelewa sana
Ni kweli ukiwa na tabia hizo utaokota pesa ila sio pesa za kutatua shida zako zako maana utaokota coin coin tu
Tulipokuwa wadogo kipindi Cha maonyesho ya sabasaba ilikuwa tukitembea mle ndani Sabasaba Kila siku mwenzetu mmoja alikuwa anaokota sana pesa ikabidi tumuulize mwenzetu anasili gani...
Hicho kinywaji huwaga nakunywa nikiwa na kazi maalumu
Kuna Fiesta Moja pale Taifa nilipewa majukumu na kampuni yangu nikajikuta nipo bize kutwa mzima nilipo maliza mida ya sa mbili usiku nikapiga Azam Energy Moja nikaingia Fiesta aisee!! Sijasinzia hata kidogo Hadi asubuhi
Pia Kuna siku wife...
Lugha ya kiswahili ilianzia Pwani hivyo basi lugha ya kiswahili imechanyika na Lugha za watu wa pwani
Mtu wa pwani akiongea kiswahili humo humo Kuna kilugha chao
Mpemba hana lugha nyingine zaidi ya Kiswahili
Mzaramo
asilimia 75 ya misamiati ya Lugha ya kizaramo imiingizwa katika kiswahili...
Shida kubwa katika hi nchi ni ufisadi uliyokithiri Kwa watumishi wa umma
Kama kweli tunataka Tanzania mpya kupitia katiba mpya basi lazima iwekwe Sheria ya kunyonga mafisadi
Kila mwaka tutakuwa tunaangalia report ya CAG na kujua ni akina nani wanastahili kunyongwa mwaka huu
Zaidi ya hapo hiyo...
Hayo maandiko Wala hayawahusu wakristo
Hapo Yesu alipokuwa anaongea hayo kulikuwa hakuna mkristo hata mmoja
Yesu amezaliwa amekuta Wana waisrael wanafunga tokea enzi na enzi na ndio anaoongea nao hapo
Na kama hayo mandiko yanakuhu wewe mkristo tuambie wewe unafunga vipi ?
Masaa 12
Masaa 24...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.