Sikuamini mheshimiwa MBOWE aliposimama mbele yawaandishi wa habari na kwa ujasiri kbs anasema Mzee LOWASSA alitota km Mlenda... Very shaime to all chadema's opposition
Kwa ziara hii Magufuli tayari kwa 100% Huyu mnamwita raisi wa mbeya hana chake pale.... Hongera sana mh Rais wangu Dr. John Pombe Magufuli Mungu ajulinde kwa yote
Kwa nini mnaaminisha umma mambo ya uongo?? Km huna jambo la kupost la maana si ukae kimya? Chombo chochote kufanyiwa ukarabati ni jambo la kawaida na wala siyo dhambi....kama mnadhani sisi tutarudi nyuma kwa maneno yenu ya kijinga mmekwama,MAGUFULI MBELE KWA MBELE hadi 2025 asiyetaka ruksa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.