eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,227
- 16,179
Wakati uchaguzi mkuu ukiwa unakaribia ccm wameanza kupata hofu na Tundu Lisu,
Hofu hiyo inakuja ikiwa chama chake cha Chadema bado Hakijaweka wazi ni nani kitaenda naye kama mgombea urais wao mwakani.
CCM imekuwa ikimzungumzia sana Lisu kama mgombea urais wa upinzani, wakati wapinzani wenyewe hawajakaa chini kuamua ni nani apeperushe bendera yao ifikapo mwakani.
Kama wataalam wa mambo ya utabiri walivyo nao wameanza kubashiri uchaguzi mkuu ujao kuwa utakuwa mgumu Mara mbili kwa ccm kuliko ilivyokuwa mwaka 2015
Huku wengine wakidai huenda CCM ikashuhudia mgombea wao akiongoza kwa muhula mmoja tu tofauti na ilivyozoeleka.
Hayo na mambo mengine yameanza kuitia homa CCM juu ya ni mgombea gani upinzani utamsimamisha mwakani.
Huku upinzani ukiwa uko kimya kuhusu ni nani atasimama mwakani kama mgombea wao wa urais, CCM wao wana hofu na Tundu lisu, MTU ambaye aliponea chupuchupu kuuawa na wabaya wake kisiasa.
Je, ni kwa nini CCM wanamzungumzia sana Lisu, wakati upinzani bado haujaamua ni nani apeperushe bendera yao mwakani katika kinyang'anyiro cha urais.
Hii hofu inatoka wapi
Wakati huo huo chama chake cha CHADEMA wao wako bize na mikutano yao ya ndani kujiandaa na uchaguzi wa serikali za mitaa mwezi wa kumi.
Hofu hiyo inakuja ikiwa chama chake cha Chadema bado Hakijaweka wazi ni nani kitaenda naye kama mgombea urais wao mwakani.
CCM imekuwa ikimzungumzia sana Lisu kama mgombea urais wa upinzani, wakati wapinzani wenyewe hawajakaa chini kuamua ni nani apeperushe bendera yao ifikapo mwakani.
Kama wataalam wa mambo ya utabiri walivyo nao wameanza kubashiri uchaguzi mkuu ujao kuwa utakuwa mgumu Mara mbili kwa ccm kuliko ilivyokuwa mwaka 2015
Huku wengine wakidai huenda CCM ikashuhudia mgombea wao akiongoza kwa muhula mmoja tu tofauti na ilivyozoeleka.
Hayo na mambo mengine yameanza kuitia homa CCM juu ya ni mgombea gani upinzani utamsimamisha mwakani.
Huku upinzani ukiwa uko kimya kuhusu ni nani atasimama mwakani kama mgombea wao wa urais, CCM wao wana hofu na Tundu lisu, MTU ambaye aliponea chupuchupu kuuawa na wabaya wake kisiasa.
Je, ni kwa nini CCM wanamzungumzia sana Lisu, wakati upinzani bado haujaamua ni nani apeperushe bendera yao mwakani katika kinyang'anyiro cha urais.
Hii hofu inatoka wapi
Wakati huo huo chama chake cha CHADEMA wao wako bize na mikutano yao ya ndani kujiandaa na uchaguzi wa serikali za mitaa mwezi wa kumi.