Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
- Thread starter
- #61
Dawa yako ndogo naibu.
amemaanisha chadema saccos ya kichaga usijifanye hujaelewa
Jikite kwenye hojaKumbe umeelewa kuwa ccm mgombea uraisi lazima awe mwenyekiti wa ccm au mrithi wa uenyekiti. Ila ujauzito wa Lisu unakusumbua sana ndio maana unamtaja taja hata kwenye nyuzi zisizohusiana nae. Pole mkuu utajifugua salama tu.
Kiongozi unaamka asubuhi yote hii badala ya kusali na kutafakari utaisaidiaje nchi Kwa nafasi uliyobahatika kupewa unaamkia majungu kuhusu Mbowe?
Mm sio Kamanda wala sio nyumbu km ww mkuu,ila huwa siwezi kusupport upupu unaoongelewa na upande wowote
Wewe unasali na kutafakari?Kiongozi unaamka asubuhi yote hii badala ya kusali na kutafakari utaisaidiaje nchi Kwa nafasi uliyobahatika kupewa unaamkia majungu kuhusu Mbowe?
Hakika laana hii ndio inaitafuna nchi, hivyo madhara yake ndio hayo ya unavyo simamia ni kufeli tuu. Tutasikia Stars chali Kwa Cranes, Simba katwangwa na Vita, ukija huku Serengeti boys watatiaibisha pamoja na uenyeji yaani mapigo ya aibu tuu kutokana na kuwa na viongozi wenye dhamana GUNDU.
Kiongozi muongo,mzandiki,mchawi na sifa zote mbaya ni chukizo mbele za Mungu na mapigo yake ni kuanguka Kwa kila mfanyalo.
JITAFAKARI JS
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes, nakuombea hata wewe akili zikurudie uweze msaidia mbinu mzee wa Kyela labda kwa wakati wake Stars itaenda AFCON
Kamanda endelea kumuombeaYes, nakuombea hata wewe akili zikurudie uweze msaidia mbinu mzee wa Kyela labda kwa wakati wake Stars itaenda AFCON
Sent using Jamii Forums mobile app