Mhe Mbowe mchuma Janga....!

Mtoa mada unakipaji cha utunzi wa nyimboo za taarabu!! Mbowe mtamtoa wenyewe kama wewe unafuraha, halie tenda ujinga huo anajosikia vibaya anashindwa ahanzie wap ili amtoe
 

Attachments

  • images%20(1).jpeg
    images%20(1).jpeg
    6.3 KB · Views: 14
Wapo wapi vijana wako wa popote ulipo?!

Wapo wapi wanachama/wafuasi na wafia chama?!

Wapo wapi waliotuaminisha iwe jua au mvua watasimama nawe na kupaza sauti zisizo koma hadi uwe huru?!

Ndg yangu Mbowe maisha ni wewe na si wale.Leo hii inatimu kama miezi miwili hivi upo ndani na watu kimya/umesahauliwa.Wanafiki wanakungoja ukitoka jela waanze kujionesha kwamba walikuwa na wewe wakati wote kumbe wapi!

Leo hii mjadala ni ndege zetu na si wewe!

Leo hii mjadala ni Makonda kutaka awe zaidi ya Jpm na si wewe!

Leo hii mjadala ni Spika Ndugai na CAG na si wewe!

Mda huu tunakula bata baa/mtaani na si kuwa na wewe!

Ndg yangu Mbowe Janga ulilichuma wewe sasa hangaika nalo!
Huu ni ushoga wa kiwango cha lami. Sasa ulitaka wafuasi wa mbowe wafanyaje kwa mfano?
 
watanzania wengi huwa hawajui wanataka nini hata kama wamesoma hebu cheki tu juzi kuna sheria iliyokuwa imeletwa ya kuwamaliza wastaafu ila watumishi wote kimya wanamtaka eti zitto ndio aende kuandamana kuwatetea .

Namshauri mzee magu akimaliza miaka yakeyake 10 akikosa mtu wa kumuachia kiti amchukue hata Joseph kabila hakuna mtanzania wa kupinga
 
Wiki hii nilifanikiwa kumpitishia chupa ya chai pale ngome aisee jamaa anasema toka siku ya kwanza hajamuona Sosopi,Malissa, Yericko wala Salary slip,hali ni mbaya kwa kweli
Ngome Makao Makuu ya Jeshi ?

Sent from my TECNO CX Air using Tapatalk
 
Back
Top Bottom