Aya zote yalikuwa maneno ambayo Malaika Jibril alikuwa akimwambia Mtume akiwa usingizini, mapangoni nk. Maneno hayo ndo yakakusanywa kuwekwa kwenye Kitabu ambacho ni Quran.
Quran haina editions, Quran ilishushwa na malaika, yalikuwa maneno kutoka kwa Allah(Mungu) aliyokuwa anamwambia Malaika wake Jibril ambaye alikuwa akimshushia Mtume yakaanza kuhifadhiwa kwenye vitabu kipindi hicho cha Mtume, Mitume walikuwa wakioteshwa au kujiwa na malaika na kuwapa maneno...
Computer Science ilikuwa deal sana kwenye miaka ya 2008 hadi 2013 huku tuendako watu wanaosoma Computer Science wanazidi kuongezeka na Vyuo vinavyotoa hiyo kozi vinaongezeka zaidi kila kukicha, Tanzania tuna wasomi wengi wa Computer Science lakini wenye utaalamu wa Computer Science ni wachache...
Habari wana Jamvi.
Nina mdogo wangu ana hizi marks kwenye matokeo yake ya FORM FOUR mwaka jana 2015.
Biology D
Chemistry D
Kiswahili C
Mengine yote ana F
Huyu dogo anataka kusoma mambo ya IT yaani aanzie Cheti, Certificates kulingana na marks zake zilivyo, ila nimejaribu kuangalia vyuo kadhaa...
Any Updates wanatoa lini majina ya waliochaguliwa?? Mfumo wa tcu mwaka huu sio kama ule wa mwaka jana ulikuwa unaingiza Index No na Password kisha unajua umechaguliwa wapi?
Dogo angu nilimchaguliwa hicho chuo cha maji sasa amezidi kuwehuka vyuo vingine kibao wametoa ila hawa MAJI bado....!SO...
Poleni madogo zangu..ha ha ha tumetoka huko,najua ikifika muda huu tulikuwa tunawahi kudownload maji na mlo mmoja kwa siku!!poleni sana na changamoto!!!
PIga Code (Programmer) au database na networking popote papo sawa,cha msingi ujue vitu usiwe mbabaishaji life is easy boy,Kuwa mtabe kwenye angle yako ndani ya IT,hakikisha uko sawa either programming,networking or database.....Tulianza na kikampuni kidogo tukaanza na 500,000 - 700,000/= per...
Mnakalia kushupalia uandishi tu na kumponda kisa chuo,asingetaja chuo nadhani msingeona huo uandishi wake mbovu,Tatizo ni nini Kumdharau Mlitaka aandike nini ili awe na hadhi yenu ?Watanzania tuna katabia kakijinga sana!!!
Habari zenu wanajamii forum, naomba msaada wa mwenye kujua wapi naweza kupata training ya ORACLE database hapa dar, Hatua technology nimeskia wanatoa hii course but ni training pekee bila Certificate(cheti cha kuhitimu),so nataka wenye kutoa training na cheti pia ada yake coz kuna mchongo flani...
MWANGA-KILIMANJARO
KILAWENI PRIMARY SCHOOL - P0704017
WALIOFANYA MTIHANI : 26
WASTANI WA SHULE : 144.8462
NAFASI YA SHULE KIWILAYA: 13 kati ya 111
NAFASI YA SHULE KIMKOA : 74 kati ya 920
NAFASI YA SHULE KITAIFA : 967 kati ya 15656
HONGERA SANA MADOGO ZETU,GOOOOD
Wanasema PCB ngumu kwa kuwa kuna Biology ambayo iko tofauti kidogo ya chemistry na physics,biology inahitaji kusoma sana theory na kukrem,But PCM wanaiona rahisi kwa kuwa wengi wanaoisoma wanakuwa wana background nzuri ya maths na masomo yote ndani ya PCM yanaendana yaani yote hayahitaji kumeza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.