Jamani tunaomba mwongozo kwa shule za English medium,niliona kwa rafiki yangu form za shule mmoja inaitwa Heritage Kongowe ada na michango jumla 4.6M kwa mwaka 1ikiwemo,kiingilio 350,000/= swali hii hela ya kiingilio ndo maanake nini? Shule hizi nazo zipewe mwongozo, sio kila kukicha ada zinapanda!
Magufuli's will is to meet the benefits and interest of the majority of Tanzanian's,he is real & simpathetically mean to hate,intending to combat the ongoing rotten egg smell atmosphere onto the government of Tanzania,so called parasites like the author are now evacuating so because the current...
Aisee kweli ndo maana humu kunaitwa great thinkers, Prof Muhongo anatosha kuwa waziri mkuu wa awamu ya tano,ana mambo ya kisasa kimaendeleo na nia ya dhati , siyo kama akina Wassira mambo kikoloni ya zamaani matusi,ubabe, ngumi za papo kwa hapo! prof Muhongo Oyeee!
Nitawashangaa wana Ludewa kumchagua Masanja hana kiwango kabisaa cha kuwa mbunge,wala huwezi kumlinganisha na wasanii wenzake Sugu au Prof Jay,Nadhani Ludewa ina watu wengine wazuri zaidi ya huyo mchekeshaji,afu nasikia si mtu wa watu hakubaliki ng'o sasa yeye alipoona akina Sugu naye...
Mimi sio follower wa Magufuli,kuweka tiles kwenye kaburi maanake ni nini? Maiti I can call it a cargo with no value! mtu akifa amekufa tuu!Kutukuza makaburi ni kuabudu mizimu!Yale makaburi ya babu zake Magufuli yamejengewa cement inatosha kama alama kwamba hapa kuna kaburi mbwembwe za kazi gani.
Dunia inawayawaya roho chafu na laana vimetapakaa nafsini mwetu wanadamu!Mleta uzi ameamua kuwa wazi kwamba ingekuwa uwezo wake angependa kummliki mjane wa Deo!Nimelitambua hili kwa saikolojia ndogo tu,na si yeye peke yake na wengine pia.Eee Mwenyezi Mungu kawajaze roho wako mwema ili wafikiri...
Mathayo ni yule alikwenda kuwanyang'anya wananchi madawati baada ya kushindwa uchaguzi uliopita! Huyu ni gaidi hafai kuwa kiongozi,atambue kuwa kama akimuua Nyerere hata yeye hatadumu kamwe atauawa pia! Biblia inasema auaye kwa upanga naye atauawa kwa upanga!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.