Dubai wanatengeneza Safari park lengo lao wakamate watalii wote ....ukienda Dubai iwe one stop centre ya aina zote za utalii.....wakifanikisha hili mtalii gani atakuja kumwona Simba Tanzania wakati akienda Dubai kuna safari park!
Chukua sqm za nyumba yako yote zidisha kwa 500,000 utapata makisio ya kumaliza kila kitu mpaka kuhamia. Ukikomaa mwenyewe unaenda nunua vitu na kusimamia hasa itapungua. 500,000 ni makisio ya chini maana sasa hivi vifaa vya ujenzi vimepanda bei sana inaenda mpaka 600000 - 800000 kwa sqm...
Kuna mafundi/ vifaa/ cranes na magari kibao ya dawasa, sehemu kama tatu kwenye barabara ya bagamoyo....huenda ndio maji yamepungua ila kuna kitu wanaficha kwa kisingizio cha ukame.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.