Search results

  1. B

    Bus za Sauli miamba ya Nyanda za Juu Kusini

    Nauli kwenda mbeya ni shs ngapi?
  2. B

    Je, ni kweli Mahindi yameshuka bei?

    Nimeuza jana 120,000 kwa gunia wilaya ya hai
  3. B

    Car4Sale Pitia Uzi huu upate gari ya kipato chako

    Unayo Toyota wish?
  4. B

    Huyu Mkuu wa Mkoa wa Tanga sidhani kama kuna kiongozi pale; labda cheo alipewa Kwa connection

    Nachojua kikosi cha uokoaji ndio kinachotakiwa haraka eneo la ajali...sio DMO
  5. B

    Msigwa: Hakuna ndege inayobeba wanyama, mwenye ushahidi alete

    Dubai wanatengeneza Safari park lengo lao wakamate watalii wote ....ukienda Dubai iwe one stop centre ya aina zote za utalii.....wakifanikisha hili mtalii gani atakuja kumwona Simba Tanzania wakati akienda Dubai kuna safari park!
  6. B

    Uzi maalumu wa kujua gharama za ujenzi wa majengo mbalimbali

    Chukua sqm za nyumba yako yote zidisha kwa 500,000 utapata makisio ya kumaliza kila kitu mpaka kuhamia. Ukikomaa mwenyewe unaenda nunua vitu na kusimamia hasa itapungua. 500,000 ni makisio ya chini maana sasa hivi vifaa vya ujenzi vimepanda bei sana inaenda mpaka 600000 - 800000 kwa sqm...
  7. B

    Tatizo la Maji: Mto Ruvu hauna maji au ni matengenezo ya DAWASA?

    Kuna mafundi/ vifaa/ cranes na magari kibao ya dawasa, sehemu kama tatu kwenye barabara ya bagamoyo....huenda ndio maji yamepungua ila kuna kitu wanaficha kwa kisingizio cha ukame.
  8. B

    Kampuni gani hutengeneza betri imara za Magari madogo ukiachana na Cloride exide?

    Ninayo kwenye gari mwaka na nusu sasa....au nilibahatisha...haijawahi nisumbua.
  9. B

    Aina gani ya maharage yenye bei nzuri sokoni

    Natafuta ya kijivu (soya kijivu) wapi naweza pata
  10. B

    Tunachimba visima vya maji popote Tanzania

    Bei gani unauza ...unazo za aina gani? Picha?
  11. B

    Tunachimba visima vya maji popote Tanzania

    Zile pump(engine) za kichina kinazotumia diesel unazo?
  12. B

    Mwigulu Nchemba achunguzwe kwa utakatishaji fedha

    Mwenye Ester ni mrombo sio mwigulu
Back
Top Bottom