Nisiende mbali huyu mwamba Sina wasifu wake"lakin ninadhan ni mwenye kipaji, kikubwa Sana; kuhusiana na Mambo ya uchambuz hasa historian.
Kama unaitaj madin mengi kichwani"
Itoshe niseme kwa Jamal yapo.
Ni mtumiaji wa lugha fasaha ya kiswahili'
Na mwerevu wa taarifa nyingi hususan" anapochambua...
Mdogo wangu wa kike hatimaye amepata Ajira TRA. Tunamshukulu sana Mwenyezi Mungu na serikali yetu Tanzania!!! Kwani Ajira zimekuwa changamoto sana sahivi!
Iko hivi, hiki kitu kilikuwa msalaba mzito sana mgongoni kwangu...kwani..Huyu dogo toka yuko form2, Ni jukumu langu na kibaya zaid' hata...
Najua taonekana wa ajabu kutokea!!! Lakin ni uhalisia:
Wayback!! 2010s Niliwahi mpenda mrembo wangu wakuitwa~J!!!! Ooh my God!!
Ule upendo ulikua wa Aina yake..aijapata tokea kwangu mpka Leo hii!!..
Nauhakika nilikua fala!!!....J'' ~Ulinikaribisha dunia hii ya upendo ..
...imagine...usipojib...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.