Mh Mbunge yupo sahihi kabisa,ni kweli uwanja wa mkoa wa Mbeya kuitwa Songwe Airport unaleta mkanganyiko usio na ulazima, kimsingi uwanja haupaswi kuitwa jina la mkoa mwingine, ni either uitwe jina la mkoa husika uwanja ulipo(Mbeya Int Airport) au jina lingine lolote kama majina ya viongozi...
Super Feo anatisha Nyanda ya juu kusini ipi hiyo tena? kule basi linalopendwa na kugombaniwa kwa sasa si SAULI pekeee
Sent from my SM-C7010 using JamiiForums mobile app
Mimi nimetembea karibia mikoa yote ya Tz, Wakinga
Kwanza ni makosa kufananisha Wachaga(Muunganiko wa kabila la Wamarangu,Warombo,Wamachame,Wakibosho nk) na Wakinga,Unawezaje kufananisha Muunganiko wa makabila na kabila moja tu? nimekaa maeneo mengi ya Uchagani lile sio kabila moja bali ni...
Kuja Tz sio lazima upitie Kenya au South Africa, unaweza kupitia Ethiopia,Rwanda,Zambia,Egypt,UAE,Qatar, Uholanzi,Uturuki,Msumbiji nk,na kwa taarifa yako abiria wengi zaidi waokuja Tanzania kutokea sehemu yeyote ya dunia hii wanakuja na Ethiopian airline kupitia Addis Ababa.
Nani kakudanganya kwamba Idadi ya Wasafwa pale mjini ni kubwa kuliko Wanyakyusa?,Jimbo la Mbeya mjini limekuwa likiongozwa na wabunge wanyakyusa kabla na pia baada ya ujio wa vyama vingi mfano Mh Mwamfupe,Mh Mwaiseje nk,
Then ndipo wakaja Mpesya na sasa Mh Sugu ambao ni makabila tofauti na...
hiyo route ya Lubumbashi-Kinshasa-Nairobi-Dar umeitoa wapi?,Timu inatoka Lubumbashi kuja Dar inafuata nini tena Kinshasa?,kama hoja yako ili base kwenye usafiri wa ndege wa Kenya airways bado route itakuwa ni Lubumbashi-Nairobi-Dar es salaam ( kumbuka Kenya airways wana ndege ya kila siku kutoka...
Nauza Gari aina ya Toyota Carina Ti;
Details zingine za gari hiyo ni
Name: Toyota Carina Ti
Engine: 5A- FE
Engine size: cc 1490
Transmission; Automatic
Fuel: Petrol
Color: Silver
Mileage 118000 Km
Location: Arusha.
Addition info
AC; ipo na Inafanya kazi vzr
AIRBAG:YES zipo
Jack ...
Kaka ATCL kabla ya kununuliwa hizi ndege sita mpya za Magufuli walikuwa na Bombardier mbili zenye namba za usajili 5H-MWG, na 5H- MWF, tofauti ya hizo ndege za zamani na hizi bombardier mpya za Magufuli ni model, hizi mpya ni Q400 na zina speed kubwa na capicity ya abiria ni kubwa kidogo kuliko...
Nani kakudanganya kwamba Uyole ipo Mbeya vijijini?, Kama hujui jambo ni vzr kuuliza ili upewe ufafanuzi.Uyole ni sehemu ya Jiji la Mbeya, Kifupi jiji la Mbeya linaishia Uyole- Igawilo kwa barabara ya Tukuyu na Uyole Nsalaga kwa barabara ya Iringa na pia Iwambi kwa upande wa barabara ya Tunduma.
Techintz, Habari, please mwenye uelewa anisaidie hili. Nina acc ya Tsh katika benk ya CRDB bank, je naweza kutuma USD kwenda Japan, kwa njia ya Paypal? Kama ndio kwa utaratibu upi?
Dodoma na Moshi au Dodoma na Kilimanjaro?
Note:Kuna tofauti kubwa katika hv vitu viwili Mji na Mkoa.Kilichopewa jiji jana ni mji wa Dodoma sio Mkoa wa dodoma.Hivyo kama ni kufananisha basi ni Mji wa Dodoma na Mji wa Moshi,ambao ukiweka siasa na mapenzi binafsi pembeni, Dodoma imeizidi Moshi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.