Bwana Dauda Kateme ambaye ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba Vijijini ametangaza rasmi kujiunga na Chadema.
Amechukua hatua hiyo baada ya kutoridhika na utaratibu wa upigaji wa kura za maoni katika Kata ya Kaibanja.Aliyetangazwa kuwa mshindi ni Lwankomezi wakati tawi moja...
Mkuu wa Wilaya ya Missenye.Mkoani Kagera Issa Njiku amemuweka rumande kwa siku ya pili leo mgombea wa Chadema katika kijiji cha Bubare Faustin Kabito,baada ya mgombea huyo katika mkutano kusema ardhi ya vijiji imeporwa na wawekezaji wa lanchi ya Missenye bila wananchi wa vijiji hivyo...
Rc wa Kagera Fabian Massawe amesema magazeti miongoni (Tanzania Daima) yanaandika udaku kupotosha ukweli wa mgogoro wa madiwani wa Bukoba kwa lengo la kulinda masirahi ya mtu wala sio wananchi.Muda mfupi uliopita kwenye kikao cha bodi ya barabara.
kufuatia sakata la kutimuliwa kwa Madiwani nane wa Bukoba Balozi Kagasheki, Meya wa Manispaa ya Bukoba Dk Amani, Mwenyekiti CCM Mkoa wa Kagera na Katibu wake, Mwenyekiti wa CCM Manispaa ya Bukoba na Katibu wake wameitwa Dodoma kuhojiwa.
Nape Nnauye amewaeleza waandishi wa habari mjini hapa...
pambano linaongozwa na kituo cha Redio ya Kasibante inayomilikiwa na Kagasheki ambayo imeanzisha vipindi vya kuimba uzuri wa Kagasheki na kueleza upuuzi wa Dk Amani.
Tayari kundi la madiwani tisa wanaompinga Meya wamealikwa na Kagasheki kwenda Dodoma(wameishafika) kumshitaki Meya kwa Waziri...
Diwani wa CCM Kata ya Mabila Wilaya ya Kyerwa Mkoani Kagera Christian Songambele amesomewa mashitaka ya mauaji ya watu wawili ktk mahakama ya Wilaya ya Karagwe.Anadaiwa akiwa na wenzake wawili waliwaua Denis Damian(Mkt wa Kitongoji cha Nyakatete kupitia TLP na Katibu wake Johnbosco Damian.Nyuma...
Polisi mjini Bukoba wamelazimika kufunga barabara kuzuia kundi la waendesha pikipiki waliokuwa wakiandamana kuelekea kituo cha Polisi kupiga vitendo vya uonevu wanavyodai kufanyiwa na askali wa usalama barabarani.Askali waliojihami kwa silaha wametanda barabara ya kutoka Soko kuu na vijana...
Rais Mstaafu Ben Mkapa amesema baada ya uongozi wake anashuhudia mambo mengi ya ajabu ikiwemo mitafaruku katika jamii.
Kwamba anachojivunia katika uongozi wake ni kuwa hakuwahi kuambiwa anabagua.
Amesema kizazi kipya cha uongozi kinatakiwa kurudi katika misingi aliyoacha Mwalimu Nyerere ambayo...
Polisi mjini Bukoba wanamhoji Evodius Justinian kwa tuhuma za kushambulia na kudhuru mwili wakati wa uchaguzi mdogo wa Jimbo la Igunga.RPC Kagera(Philip Kalangi)amesema mtuhumiwa atasafirishwa kwenda Tabora.Amesema maelezo zaidi aulizwe RPC wa Tabora.Bado haijajulikana kama kijana huyo ni...
Katibu Mwenezi wa CCM Nape Nnauye anaendelea na kikao katika ofisi za chama hicho.
Madiwani wanaotaka Meya ang'olewe wako nje wakisubiri kujua hatima yao.
Ndani ya kikao pamoja na wengine yupo Mkuuwa Wilaya ya Bukoba Ziporah Pangani, Meya Dk Aman,Katibu wa CCM mkoa Averin Mushi na wengine...
Kikao cha kujadili bajeti ya Manispaa ya Bukoba kimehairishwa baada ya idadi ya madiwani kutofikia nusu(wamefika 11 kati ya 24)
Madiwani wote tisa wanaompinga Anatory Amani akiwemo Khamis Kagasheki wamesusia baraza hilo.Mwenyekiti wa Chadema Bukoba Mjini Victor Sherejei amesema madiwani wa...
5/Feb/2013 Naibu katibu Mkuu ccm Mwigulu amehutubia wananchi wa mjini Bukoba na kushambulia upinzani.Kwamba mwisho wa Dk Slaa ni 2015 wale wanaomuona akiapishwa Ikulu wanavuta ban...kuwa safari ya Zitto imeishafika mwisho na wamemwacha aende zake kwa kuwa hatoki kanda ya kasikazini,kwamba...
Kikao cha halmashauri kuu CCM Wilaya ya Bukoba kinaendelea ukumbi wa St Francis.
Makamu Mwenyekiti Taifa Philip Mangula ameuliza kama kuna diwani ambaye hajui kinachoendelea kuhusu mradi wa soko au hakuwahi kushirikishwa katika uamuzi wa miradi ya Manispaa ajitokeze.
Madiwani wote wamebaki...
Miongoni mwa madiwani waliotia saini ya kutaka Meya wa Bukoba Dk Anatory Amani aenguliwe ni Mwenyekiti wa CCM Bukoba Mjini Yusuph Ngaiza na Mbunge wa Bukoba Mjini Balozi Hamis Kagasheki.Waliotia saini ni madiwani kumi na Baraza zima lina jumla ya Madiwani 24
Baadhi ya madiwani wa Manispaa ya Bukoba wameingia matatani baada ya kuhojiwa na TAKUKURU kwa tuhuma za kupokea rushwa ili kusaini waraka wa kumng'oa Meya wa Manispaa hiyo Dk Anatory Amani.Tuhuma nyingine ni kuhongwa safari za matembezi nchini Uganda.Kamanda wa TAKUKURU amethibitisha kuhojiwa...
Enyi vigogo wa Wakala wa Huduma ya Ununuzi Serikalini(GPSA)kumbuka mnavyofurahia maisha na familia zenu sisi wafanyakazi wa Mikoani kwa makusudi mmeendelea kututesa kwa kutucheleweshea mishahara mpaka leo,hata tumeshindwa kufurahia na familia zetu katika sikukuu zote za mwisho wa mwaka.Kumbuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.