Search results

  1. U

    Ajali mbaya imetokea katika msafara wa mwenge Msalala - Kahama

    Leo tar. 1 august kata ya Lunguya wilaya Msalala mkoani Shinyanga imetokea ajari mbaya ya gari na kuua watu watatu hapohapo na wawili wamefia hospital ya kituo Cha afya Lunguya, chanzo Cha ajari inasemekana ni mwendokasi wa dereva. My take: Barabara hii ya Kahama -Kakola ni mbaya sana karibia...
  2. U

    Hali ni tete

    Bado hatujachelewa kiongozi Mungu abariki Ili tufikie malengo
  3. U

    Naomba mshirika kwenye biashara ya nguo za watoto

    Soko naamini ni uhakika sababu sehemu hii( kata nzima hamna nguo za watoto wanafuata mjini almost km 60 kutoka hapa) Kuhusu aina za nguo wengi wanapenda mpya kwa sababu ya usalama wa watoto
  4. U

    Naomba mshirika kwenye biashara ya nguo za watoto

    Hello JF members, Mimi ni mwalimu na nina familia tayari hivyo kama mtu anataka kujipanua kibiashara huku mkoani nipo tayari kushirikiana naye Ili niwe msimamizi wake huku maana wife yupo kwa usimamizi maana hapa nilipo hakuna hio huduma. Kama Kuna mfanyabiashara yupo tayari tunaweza tukafanya...
  5. U

    Inaumiza, inatesa na kuniweka katika majonzi mazito mno

    Ahsante mkuu ila kauzibe nawekewa kuwa sehemu nilipo Kuna uhaba wa walimu
  6. U

    Inaumiza, inatesa na kuniweka katika majonzi mazito mno

    Ahsante sana mkuu nimefarijika sana , na hio ndo target yangu ndo maana katika siku chache zilizopita niliandika Uzi pia wa kuomba kwa mtu anayejua taasisi/organization ambayo inatoa ufadhili wa masomo Ili niweze kujiendeleza japo bado sijafanikiwa maana katika Hali niliyonayo kwa Sasa siwezi...
  7. U

    Inaumiza, inatesa na kuniweka katika majonzi mazito mno

    Mimi ni mwalimu na nina familia lakini maisha nayoishi kwa sasa ni heri ya mwanafunzi ila naamini Mungu yupo atanipigania. Matatizo huja pale unapolemewa kuyatatua unawaza na unajikuta unaingia katika mikopo ambayo huipendi wala hukutarajia mwisho wa siku inakuwa ni mwiba, tena mwiba hasa. Na...
  8. U

    Nahitaji kujiendeleza kielimu (diploma) via Open university

    Maisha haya tunapambana kadri tuwezavyo lakini katika kupambana huko tunajikuta ndo tunaanguka zaidi Lengo la huu Uzi ni kutaka kusaidiwa shirika/NGO's/ mtu binafsi anayeweza nisaidia kulipa ada nimalizie masomo yangu Kwa ambaye anajua au yupo katika hio organization anisaidie wakuu[emoji120]
  9. U

    Walimu msingi mnaofundisha mikoa ya Nyanda za Juu Kusini nawaomba hapa

    Lengo kuu: kubadilishana kituo Cha kazi Hello, Nipo mkoa wa shinyanga, halmashauri ya msalala na nahitaji kuja mkoa wa NJOMBE,MBEYA,SONGWE AU IRINGA Halmashauri yoyote ile katika hio mikoa Kama unahitaji kuhamia huku na uko serius please tusaidiane Nina uhitaji mkubwa wa kuhamia katika hio...
  10. U

    Ni Tabia gani unazo na ungependa Watoto wako warithi kutoka kwako?

    Nadhani hivi vitu vinaendana, ukiwa na utu lazima hasira uwe nazo za kutosha
  11. U

    Duniani kuna mabara mangapi?

    Geography umesoma wapi?
  12. U

    Ukiwa na USD 500,000 unaingiza vipi Tanzania kama upo nje ya nchi?

    Wenye pesa hawajielezi hivi , nimemaliza
  13. U

    Duniani kuna mabara mangapi?

    Africa Europe Asia Australia South America North America Antaktika
Back
Top Bottom