Wakuu nauza TV aina aborder
Ina double glass yani vioo viwili,,cha nje kikivunjika kinabaki cha ndani
Ina msitari kidogo tu hapo chini
Bei ni 230000
Dar es salaam
0762693368
Wakuu nauza TV aina aborder
Ina double glass yani vioo viwili,,cha nje kikivunjika kinabaki cha ndani
Ina msitari kidogo tu hapo chini
Bei ni 230000
Dar es salaam
0762693368
Wakuu nina biashara ya mchele pamoja na mpunga huku mkoani Tabora.
Gunia la mpunga kwa huku nauza 70000
Mchele nauza 1300 kwa kilo kwa huku
Nipo Nzega Tabora
NB:Mchele wa Tabora na Shinyanga ni mtamu na mzuri sana ingawa unaoamika zaidi ni wa Mbeya
Call: 0762693368
Whatsap: 0762693368
Habari za uzima wanaJF,
Nilikuwa naomba ushauri wenu na mawazo yenu; nimesikia viwanja Mkuranga vipo vya laki 8, nikapata wazo kwanini nisijenge nami niwe na kwangu. Kuangalia mfukoni nina milion 1 na laki 5 nilojiwekeza miaka mitatu. Sasa hivi naishi chumba nalipa kodi elfu 60. Sasa nataka...
Kama kichwa cha habari,nina ujuzi mkubwa wa na uelewa mwingi kwenye maswala ya platform.
Yeyote mwenye shida ya kufanyiwa kazi yeyote kwa malipo madogo anitafte
Mfano wa vitu navyoweza
1)Google android (google play console,adsense,account recovery n.k
2)Youtube,blogger(link to payment)...
Nauza king'amuzi changu na vifaa vyake vyote,,cjui antenna,remote,nyaya,,ukinunua ukifka kwako na kuangalia,,INA channel 7 bure za bongo,,Elf 50 tu
0762693368
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.