Shame on you Nape, Acha kudanganya Umma wa Watanzania. Lakini Watz wengi wanakuelewa kuwa wewe ni mtu wa kuropoka tu huna lolote lile. Jipangeeeeeeeeeeeee
Nimesoma EGM na nimepata 3.13 yaani
economics D
geog E
a.math D. Sasa wakuu naombeni ushauri wenu nisome coz gan nzuri kulingana na matokeo hayo.Asante.
Hapo ni Dr.Slaa tu, Zitto kuwa na subira mda ukifika 2takufikiria,huu ni mda wa kukijenga chama zaidi na c mda wa kutangaza nia ya kuwa Presidaa. Ushauri wangu wa bure kwa Zitto ni kuwa ashirikiane na viongozi wengine wa juu wa CDM ktk kuiendeleza M4C,Kuwaelimisha wananchi hasa wale wa vjijini...
Ugumu wa maisha ni kipimo cha akili,Hapo ndipo akili za wabongo zipime na kugundua kuwa walifanya makosa kumchagua kikwete na CCM yake iunde serikali ya nchi hii.Maisha ni magumu kila kona wa2 wanalalamika,hili liwe fundisho kwe2 2sifanye makosa tena 2015 kwani kosa sio kosa bali kurudia kosa...
Kituo cha polisi ilomba,kimevunjwa, watuhumiwa wamekimbia,na kimechomwa moto. Ni kituo cha polisi cha pili kuchomwa,kingine ni cha uyole.Inasemekana watu wengine kutoka Mbalizi wameenda kuungana na wenzao kupambana na askari. Wananchi wanapiga simu redioni, wanasema hawamtaki Kandoro.
Mbunge wa...
Hello wanaJF humu ndani.Mimi ni member mpya ndani ya jamii forum.Natarajia kupata mawazo na taarifa mbalimbali zenye kunijenga kutoka kwenu.Ok thanx jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.