Search results

  1. Ronee

    Kwa yeyote mwenye kibarua mimi nipo tayari kufanya naombeni msaada wenu

    Hauna hata cheti cha kidato cha 4? Hao garda uliowataja sina hakika kama wana haja na cheti cha chuo
  2. Ronee

    Wakuu, nishaurini kuhusu Shule ya bweni kwa mtoto wa nursery

    Nimeisoma kiundani, ahsante mkuu.
  3. Ronee

    Wakuu, nishaurini kuhusu Shule ya bweni kwa mtoto wa nursery

    Mkuu naona hili jambo halijakubariki hata kidogo sawa pia na kwa wachangiaji wengi, niseme tu kwamba i do wish all the best for my kid na najaribu kufikiria njia iliyo sahihi ya yeye kuwa 'a strong lady in future' hivyo ninaona kukosa kwake elimu bora ktk hatua ya mwanzo inaweza pelekea asiwe...
  4. Ronee

    Wakuu, nishaurini kuhusu Shule ya bweni kwa mtoto wa nursery

    Mkuu hii option ya shule ya kutwa na school bus ingekuwepo nisingefikia kuwaza hivyo.
  5. Ronee

    Wakuu, nishaurini kuhusu Shule ya bweni kwa mtoto wa nursery

    Mkuu nina hisia kwamba kizazi kinachokuja baada ya kizazi chetu kitakuwa dominated na vijana wenye ufahamu mkubwa wa mambo, uwezo mzuri wa kujieleza na kujiamini, ambao wengi hawaandaliwi ktk shule zetu hizi.
  6. Ronee

    Wakuu, nishaurini kuhusu Shule ya bweni kwa mtoto wa nursery

    Mkuu numbisa ni kweli nilikuwa na fikra flani lkn kuomba ushauri ni muhimu ili tuweze kupima maamuzi yetu kupitia uzoefu wa wengine. Ninachokifanya ni kuangalia mizania kati ya hasara ya kimalezi na faida kwa mtoto.
  7. Ronee

    Wakuu, nishaurini kuhusu Shule ya bweni kwa mtoto wa nursery

    Mkuu hebu fikiria tatizo la kimazingira, wazazi ambao wanaishi mbali na huduma ya hizi shule tunazoamini zinatoa elimu bora, je watoto wao wasipate fursa kabisa ya kunufaika na elimu hiyo kwa sababu za kimalezi?
  8. Ronee

    Wakuu, nishaurini kuhusu Shule ya bweni kwa mtoto wa nursery

    Lipi ni jema sasa mkuu, apate elimu hii ya jua kali ili kulinda ukaribu wa mzazi na mtoto na malezi bora au aende akapate elimu itakayonjenga vizuri kuyakabili mazingira yake.
  9. Ronee

    Wakuu, nishaurini kuhusu Shule ya bweni kwa mtoto wa nursery

    Mkuu una hoja ya msingi nitaitafakari zaidi, kimsingi nikiangalia hata tabia za watoto wa hizi shule za umma ambao wanashinda na wazazi bado zinasikitisha kbs!
  10. Ronee

    Wakuu, nishaurini kuhusu Shule ya bweni kwa mtoto wa nursery

    Mkuu hoja hii ndio inayonidhoofisha, lakini ni kweli kwamba shule hizo za boarding hazina watoto, na je wote wamekuwa na tabia mbaya ama kupoteza 'bond'na wazazi wao?
  11. Ronee

    Wakuu, nishaurini kuhusu Shule ya bweni kwa mtoto wa nursery

    Naimani afya zenu ni njema kabisa wakuu, kuhusu mengineyo inshallah Allah atafanya wepesi. Wakuu 'junior' wangu sasa amefikia umri wa kuanza shule, changamoto inayonikabili ni kuhusu upatikanaji wa shule hizi za mchepuo wa kimombo ktk mazingira niliyopo kwa sasa, huduma hiyo hamna. Hivyo basi...
  12. Ronee

    Ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kumlawiti mgoni wake

    Hatuna tatizo na hiyo hukumu, mahakama imetenda haki kabisa, shida yetu ni 'connection' ili nasi tupate kuwa mashuhuda!
  13. Ronee

    Natafuta Msichana wa kazi (housegirl)

    Mkuu chisaye, huyo mdau wako bado yupo au ashapata, anaweza fanya kazi mkoani au anahitaji kwenye flyover tu?
  14. Ronee

    Misingi ya kuishi pamoja

    Dunia imebadilika sana, ukiyatekeleza hayo ndio utaishi kwa taabu kuliko binadamu yeyote, amin nakwambia!
  15. Ronee

    Tumeachana rasmi kwa kuwa mimi si Mchaga

    Be strong, utampata alie sahihi kwako toka kabila lolote likiwemo hilo hilo la kichaga
  16. Ronee

    Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

    Ni ukweli usiopingika kwamba mitandao ya kijamii kama huu wa JamiiForums, twiter, fb na ile inayojadili mambo ya kisiasa hutumiwa kwa kiasi kikubwa na wasomi. Ktk mijadala mbalimbali iliyoibuliwa kuhusu wagombea wawili wanaochuana vikali imeonyesha dhahiri upande wa ccm umeelemewa kwa hoja za...
  17. Ronee

    Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ni toleo jipya la Magufuli with all bugs fixed, mpeni kura zenu

    Wapiga kura wengi bado hawajitambui, ndio maana wanampigia magoti yesu wa lugola wakisema "baba tunaomba utuletee maendeleo" nae anawapiga mkwara, msipomchagua flani siwaletei!!" hao ndio wale misukule ya fisiem ambao kwao maendeleo ni hisani.
  18. Ronee

    Uchaguzi 2020 Uongo na Upotoshaji huu wa BBC London kuhusu Tanzania kipindi hiki cha kampeni una maana gani? Sio mbinu za mabeberu? Wapi weledi wa ki-BBC?

    Eti 'WELEDI' unawezaje kuukosoa weledi wa BBC ilhali wewe katika uandishi wako weledi hauonekani? Jinyooshee kwanza kidole kabla ya kuinyooshea BBC
Back
Top Bottom