Miezi kadhaa iliyopita kulitokea wimbi la Mataifa Tajiri kujitoa kufadhili Taasisi ya Kimataifa inayohusika na kuhudumia Wapalestina ya UNRWA. Taasisi hii ya UN iliundwa zaidi ya miaka 70 iliyopita kuhudumia Wakimbizi iliyopita kufuatia Majeshi ya Israel kuvamia vijiji vya Wapalestina ambao...
MK254 ambaye ana chuki kali dhidi ya Waislamu na waarabu hawezi kucoment kwenye huu uzi. Yuko busy na kuandika mada dhidi ya waarabu kumbe waarabu wenyewe wanaisaidia Israel.
Naam, sasa taarifa zinaanza kuenea, namna Wairan walivyotumia akili ya ziada kuwezesha operesheni yao ya kupiga kambi tatu za kijeshi huko Israel.
Fuatilia hapa:
https://www.youtube.com/watch?v=aB_zjqeTlsw&t=11s&ab_channel=TheElectronicIntifada
Wazayuni na Wamarekani wako busy kuzima taarifa za Marekani kutumia veto kuzuia uanzishwaji wa Taifa la Palestina. Unafiki wao wa kujifanya wanasapoti two state solution wakati huohuo wanaVETO uanzishwaji wa Taifa la Palestina umewekwa wazi. Kwa hiyo wako busy kujaribu kuspin headlines lama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.