Hatuna chuki na Manara ila tuna mapenzi na timu yetu, sababu yoyote ile inayoleta matokeo mabaya tutaisema!!! Moja wapo ni Kauli zisizo za kimpira za msemaji wetu zinazo tumiwa na wapinzani kuwapa morali wachezaji wao kuikamia SIMBA SC!!
Nimeona Leo pia katoa tamko la kuwa tuhum wachezaji et walicheza chini ya kiwango kasahau kuwa yeye ndiye aliye wapa overconfidence, nadhani anataka kuivuruga timu yetu kwa sasa!!
Sijakataa kwamba Manara huwa analeta upambanaji kwa wachezaji, ila hilo hutokea hasa kwenye mashindano ya CCL au tunapo cheza na timu kubwa zaidi yetu but inapokuja tuna cheza na timu za kiwango kidogo zaidi yetu au ligi ya ndani manara hutoa kebehi na kejeli zinazo sababisha wapinzani wacheze...
#NIONAVYO MIMI: HAJI MANARA HAFAI KUWA MSEMAJI WA SIMBA SC.
kwanza kabisa napenda kukiri wazi kuwa Mimi ni shabiki wa chama la wana SIMBA SC, pili nina muheshimu kaka yangu Haji Manara na nina heshim mchango wake kwa klabu yetu.
Wakati wa kuanzishwa kwa klabu hii 1936, timu hii imepitia...
HAJI MANARA HAFAI KUWA MSEMAJI WA SIMBA SC.
kwanza kabisa napenda kukiri wazi kuwa Mimi ni shabiki wa chama la wana SIMBA SC, pili nina muheshim kaka yangu Haji Manara na nina heshim mchango wake kwa klabu yetu.
Wakati wa kuanzishwa kwa klabu hii 1936, timu imepitia vipindi kadha wa kadha...
Kama wao walivyo chagua kuzia sisi mashabiki wa Simba sc kuangalia mechi live, basi na sisi Simba sc mabingwa wa ligi kuu tumechagua kuwazuia mashabiki wao hao plateau united!!!.
Natunajua utopolo ndio wanaoteseka ila hatuna cha kuwasaidia, ndengelekiiiiiiii
"This peoples know nothing than fighting " maneno ya askari manusura wa kijerumani wakati wa vita ya lugalo katika taarifa yao kwenda Berlin kuhusu wahehe.
Hujajibu maswari niliyo uliza!!
1. Kivip kufanya pre match party iwe sababu ya upangaji huo!? Una hakika gani match nyingine simba hakufanya party?
2. Je simba kushinda dhidi ya timu nyingine ni upangaji wamatokeo?, vip kufungwa haiwez kuwa upangaji wa matokeo pia?
3. Simba hatakiwi kushinda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.