Search results

  1. J

    Mume/Mpenzi kumfanya mwenza wake kama punda wa ngono

    Uandishi wako wa hoja says alot juu ya exposure ya ulaya.
  2. J

    Barabara ya Kimara mpaka Kibaha itazamwe upya, vifo vya watu kutokana na kugongwa na magari vimekuwa vingi sana

    Dah- kuna jamaa aligongwa hapo akadondoka bila kujua mguu umekatika, ile kunyanyuka tu akadondoka chini. Binadamu wenzetu wengi wameumizwa na wengine kwa kutofuata sheria za barabarani.
  3. J

    Sijawahi kuona faida ya ndugu wa damu, mjali na mpende anayekujali na kukupenda

    Anachokisema kwa sehemu fulani kina ukweli. Mara nyingi watoto wa KIUME huwa na ukaribu sana na mama zao, na wa KIKE ni karibu sana na baba. Exceptions ni chache sana. Kiufupi tuwapende watoto wote kwa usawa, na watu wote pia. Mtu anaweza kuhudumiwa pia hata na mtoto asiye wake.
  4. J

    Nawahurumia sana viumbe hai ninapowakuta kwenye matatizo

    Wamarekani wana msemo wao "Ukitaka kujua tabia ya binadamu, angalia jinsi anavyo-treat wanyama"
  5. J

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Google doc. kuna watu naona wanaizungumzia ingawa sijaijaribu, una experience nayo mkuu?
  6. J

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Microsoft word yes. Changamoto nayoipata ni kwenye kupangika kwa pages na maneno, I think kuna kitu pengine nakosea
  7. J

    Virusi hawafi, kwanini mashine za kunyoa hazisambazi UKIMWI?

    Vijana wanakwambia UKIMWI ni hoax.
  8. J

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Mkuu habari, Najua hili swala lipo nje ya muktadha kidogo. Is it possible kudraft word documents kwenye simu na zikakaa vizuri kabisa? And how? Manake najaribu kuziandika alafu zinakaa shaghalabaghala.
  9. J

    Virusi hawafi, kwanini mashine za kunyoa hazisambazi UKIMWI?

    Kwanza pole sana mkuu. Ndo maana mkwere alisema "akili za kuambiwa changanya na za kwako" Wengi humu ni teenagers, uelewa wa haya mambo unaweza usiwe mkubwa kiivyo.
  10. J

    Virusi hawafi, kwanini mashine za kunyoa hazisambazi UKIMWI?

    Mkuu, Huyo jamaa ameongea vyema sana. HIV/AIDS ni hatari mno. Binafsi nilishuhudia watu wangu wa karibu wakiugulia huu ugonjwa hadi umauti. Mmoja alikuwa mke wa mwalimu wangu, watatu walikuwa majirani zangu. Hawa niliowashuhudia walikuwa hawana tena nywele kwa kunyonyoka, miili ilikuwa...
  11. J

    Virusi hawafi, kwanini mashine za kunyoa hazisambazi UKIMWI?

    Inategemea mkuu, Yote ni magonjwa mabaya sana. UKIMWI inaonekana ni ugonjwa wa kawaida nw days sababu ya dawa, ila bila uwepo wa dawa usiombe kuusikia wala kuuona.
  12. J

    Changamoto za kumiliki gari "unique"

    Na punda kun'goa mlango wa gari it's not a joke.
  13. J

    Tunauza mashine za aina mbalimbali

    Mashine za kutengeneza chakula cha kuku pallet kwanzia tani 1 mnazo? Kama zipo, bei? Na ni imports?
  14. J

    Wakulima wagomea bei ya Korosho

    Wanapaswa kutumia busara tu, bei ya korosho haijawahi kuwa fixed, na haitokuwa fixed milele. Wakikaa na hizo korosho halafu misimu ikakutana na ya nchi nyingine wategemee makali maumivu mnoo. Consumption ya korosho inaweza kuwa imeathiriwa pakubwa na Corona hivyo walaji kuwa wachache. Petrol...
  15. J

    Ndege ya Urusi ilirusha kombora karibu na ndege ya kijeshi ya Uingereza juu ya Bahari Nyeusi

    Kama ulisoma historia na bado huna uelewa, ni tatizo kubwa sana.
  16. J

    Vibanda 15 vyateketea kwa moto Mafinga

    Kwenye hizi zama vibanda vinapata tabu kwelikweli. Ifike mahala hawa watu wawe na huruma kwa binadamu wenzao.
Back
Top Bottom