Ijumaa Kareem Viongozi,
Technologia imekuwa kubwa nahofia kununua famba(fake). Kwa wataalam,simu gani ina afadhali kidogo kwa hiyo pesa? Kuna zingine ukitoka tu nje ya mji net work inakata,ikae na chaji ata kama ni siku 1,ubora wa picha pia.
Napendelea Sumsang ila sina uelewa zaidi,ipi sio...
Tulikua pamoja,tukasoma wote,badae me nikaendelea na shule ye akasema anaanza maisha,baada ya ya me kumaliza shule,nikapata kakibarua,tukakubaliana nmtumie pesa anunue gunia 500 za alizeti,wakti wa kununua katika kila gunia moja nazidisha elf 2 matumizi yake,nikamnunulia boxer ya...
Mmesema ni 13/07/2019 saa 1.30 asubuhi,hamjasema venue ya kufanyia tena interview,. Mkikamilisha taarifa itatusaidia,wengine ni wageni Tanga,kuanza kutafta venue asubuhi,itaongeza frustration.
Mbona hujasema pia alisimamia mkataba wa korosho na kampuni ya Kenya? Huyu mpumbavu unaanzia wapi kumtetea eti? kwa akili yake ilivyo ataweza kuisimamia serikali kweli kama mbunge?? Na linavotoaga mimacho wakati linaongea!
Miaka miwili namwambiaga tu ata kama umechafukwa usiongee sana,ongea kidogo tu nyamaza,hiyo siku hataisahau nilidisconect waya, kesho yake kilikuwa kikao kikubwa tu. Sifikir kurudia tena, lakini huwa inatokea gafla sana,ndani ya sekunde 60 yameharibika.
Hahahaa me na demu wangu,tupo mikoa tofauti yaani anaweza kufanya hiyo mara mbili kwa siku,ata akiwa kazini hasa kama zamu ya night,akipata upenyo tu analoo, cha ajabu ye ni expert wa mambo ya afya,Nilidhani ni peke yake kumbe mpo wengi.
Mkuu wa mkoa kwa maana ya serikali wamesema yaende Ilongero,CCM imesema yaende Ilongero,sasa nani mwingine anakataa? We unaasume watu wote wanaujua huo mgogoro.Siku nyingine fafanua vzr.
Ilongero imedumaa kimaendeleo ni ya mda mrefu lakini mabadiliko ni kidogo sana, Pia ipo ndani ya 30kms...
Hivi hiyo ni kesi aina gani sasa,Madai au wizi wa kuaminika?
Kwa kifupi ni uoga wao na kutokuelewa ndio inawafanya wanakubali mfungue hizo pamplet zako.Hakuna kesi hapo.Ni chenga tu. Na kwa akili zako hiyo kesi ikienda mbele itakushinda tu,huezi kugharamia hizo makitu zote as if mmefunga ndoa.
Hamna haja ya kufanya haraka nenda taratibu huku ukikumbuka changamoto anazokupatia,time will tell yani kuna mda utafika nafisi yako itakubali na siku ukisema una move on hautapata shida.
It is just matter of time wala usilazimishe.
Me huwa nasema kama watu maarufu wana break asa me nitashindwa...
Mara nyingi wenye viwanda huwa wanakamua mafuta ya wateja yaani mtu mwenye alizeti analeta kiwandani kwako unakamua,hapo utamuuliza,kama anaacha mashudu mashineni, atakamua bure,we unakusanya hayo mashudu utauza,kama anataka aondoke na mashudu basi atalipa sh.elfu 5.(kwa kila gunia,kama ni chini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.