Hapo umenena hata wanaofundisha kwa lugha zao, huwa wanakubali maneno ya kukopa kutoka lugha nyingine, sasa ukitaka kupata kichaa, waanze kufundisha sayansi kwa Kiswahili. Hata hivyo pia Kiingereza kwa watu EA kutoa Burundi na Rwanda ni funguo ya kufungua Elimu ya kujiendeleza zaidi kwa kuwa...
Umenena vema katika maamuzi ya hapa tatizo la Mbowe ni msimamo wake, na maono yake, ambayo ni tishio kwa upande wa wasio na maono yote yanayo mtokea na kumzunguka Mh. Mbowe ni kwamba hana bei, je haya ulio weka hapa na shutuma za uongo na zakulishwa wewe ni bei gani?
Mbowe angelikuwa duni na...
Mungu alipomthibitisha Ayubu, aliwaonyesha marafiki kwamba walikosa walipodai kwamba kila shida ni matokeo ya dhambi za mtu binafsi. Pia alionyesha kwamba Elifazi alikosa alipodai kwamba watu wanamwabubu Mungu tu, kwa sababu anawapa mambo mema na fanaka. Ayubu alidumu kuwa mwaminifu kwa Mungu...
Labda ukiwa sio mtafiti utakuwa maisha yako yote ni mtu kulaumu. Kulikuwa ni usiku wa giza totoroo kiasi hata mwembe wenyewe hauonekani, kisha uruhusu wenye mawe waangue maembe. Wakati anachukua nchi haukua muda muafaka kwa vyama vingi
Unamaana gani? Mamlaka au Mawakala sijakuelewa, ikiwa kama Katiba ndio kitabu kitakatifu katika muongozo wa uendeshaji wa Mamlaka iliyopo pamoja na wale waliotoa dhamana ya kuongozwa, Je Katiba yenyewe inasema je kuhusu anayeivunja adhabu yake ni nini.
Umenena vyema sana, Africa tulishakuwa biashara yao tangu tulivyokubali kufuata mifumo yao, kujitoa ni vema kujua kuwa mashirika yote kama hayo uliyoyainisha ni mkono wa mtu mmoja. Wakati anapigwa Gadafi alikuwa apigwi kama yeye ilikuwa inapigwa Afrika, lakini wengine wakijua ni Gadafi tu, na...
Kwa miongo mingi a Africa ilikuwa na tiba ya mgonjwa mengi sana, lakini hakukua na tartibu kuhifadhi rekodi za utabibu na muonekano, saratani yawezekana lilikuwa gonjwa la kawaida sana, mbaya nipale tulipoingiziwa akili kuwa dawa zetu hazikuwa na vipimo sahihi, tartibu tukaondoka nakujikuta...
Unamaanisha ni kweli kuwa Mbowe tu Tajiri ila wivu fitna na uongo dhidi yake vimeshindwa, je kama waovu wauchukia ukweli na hupenda vitu dhaifu ila bado mwenye haki hakika hukaa juu ya waovu wafitini na wanafki wachumia tumbo huendea makombo na hujisifu na kumsifia aliyeacha makombo.
Sheria nyingi za ndoa zinatamka mali mlizo chuma pamoja, au yale maendeleo yote yaliopatikana ndani ya ndoa na sio mali mwanandoa alizozikuta kabla ya ndoa, na hata hivyo kuna sheria ya mirathi, kama mwenye mali aliacha wosia kuhusu mgawanyo wa mali zake. Mara nyingi mada huja kwa hisia na sio...
Zari ni mwanamke mzuri tangu mwanzo nilipomwona akiwana Dai, japo sijawahi kumwona kwa karibu kwa mtizamo wa nje ya picha, inawezekana kabisa huyu mama si mwingi wa maneno kama walivyo wabongo wengine ndicho wengine humchukulia poa tu. Hata hivyo "She is not the cheap one" bado ni mwanamke...
Tungelikuwa tunajenga umoja na nyie kuachana kupigania makombo, hii nchi ingelikuwa mbali sana, ila sasa wanaokula makombo wanakelele na kejeli ambazo utadhania wao ndio hula vinono... Kama kuna mtu anayekula makombo asituletee hapa baki na mabwana zako. kwakuwa unajua akiiba makombo hayapungui...
Wi-Fi ni namna ya kifaa kinachoruhusu kompyuta, simu za Android, au vifaa vingine kuunganika kupokea au kutuma kwenye njia ya kimtandao au kuwasiliana na vifaa vingine bila waya ndani ya eneo fulani. kuna tofauti kubwa kati ya Internet na Wi-Fi. Wi-fi inaweza kufanya muunganiko kwa sehemu...
Naomba kuuliza, kwa kuwa kwenye faida huwa pia kuna hasara, iwapo migodi hiyo haitaweza kuzalisha kiasi tarajiwa kukawa na uendeshaji kwa hasara je 50/50 inagawanywa vipi? Ni jambo la kushangilia pale tutakapo ona manufaa ya hiki ambacho kinafanyika leo.. tusichanganye hisia za kuanza kutajana...
Naomba kuuliza, kwa kuwa kwenye faida huwa pia kuna hasara, iwapo migodi hiyo haitaweza kuzalisha kiasi tarajiwa kukawa na uendeshaji kwa hasara je 50/50 inagawanywa vipi? Ni jambo la kushangilia pale tutakapo ona manufaa ya hiki ambacho kinafanyika leo.. tusichanganye hisia za kuanza kutajana...
Kama niliivyoelewa mimi uzito wa bomu ni kilo 9,800 wastani wa tani 10 pia inawezekana kurushwa toka ardhini ni kiasi cha kuyapa uwezo wa kufanya hivyo kutoka na shabaha iliyokusudiwa.
Marekani na Russia wapo karibu sana kuliko Iran na Marekani kutoka pana umbali wa kama km4 kutoka eneo la Russia kwa magharibi kuelekea mashariki mpaka eneo na Marekani ingelikuwa sio bahari kugawa visiwa vidogo vidogo kungekuwa na uwezo wa kuingia eneo la Marekani kwa kutembea kwa miguu. ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.