Miezi minne mbona mapema sana? 🥳🥳🥳🥳
Anyway, peleka shauri lako kwa mshenga na wazee utapata msaada mzuri. By the way, hakikisha na yeye hajutii kuolewa na wewe
Hangaika na soko kubwa au wateja wakubwa. Kazi za Elfu hamsini, laki mbili na kadhalika zitakupa kula tu ila hamna kutoboa.
Mafanikio makubwa yapo kwenye wateja wakubwa na miradi mikubwa ya serikali, mashirika na makampuni makubwa size za Millioni 10, Millioni 100, Billioni na kadhalika.
Alama ya kwanza huwa ni AHADI NONO BILA KUVUJA JASHO. Hakuna RISK, hakuna kufanya KAZI Kubwa. Pia hakuna mchujo wala Vigezo na Masharti. Yaani ukiwa na pesa ya kiingilio tu basi UNAINGIZWA.......
PALM TREE RESORT is looking forward to hire a competent Marketing Manager who will be responsible for all of its marketing activities. All interested and qualified personnel are welcome to apply.
Job Title
Marketing Manager
Department
Sales & Marketing Department
Reporting To
General Manager...
Mipango Mingi ni vichekesho 😂 Eti mwaka ujao nina mpango wa kununua Gari 😠
Ukitaka kuwini panga mambo utakayofanya, utakayoongeza au utakayopunguza ili ufanikishe lengo lako fulani.
So kama ni kuacha pombe basi usipange mwakani naacha pombe, bali panga kuacha mazingira yanayokufanya unywe...
Maisha ya hatari sana haya.... Kimsingi unatakiwa mshahara ukukute na pesa za kuishi vizuri mwezi ujao wote. Yaani akaunti yako iwe na akiba kutosha mshahara wa mwezi wako mmoja, so mishahara iwe inagongana.
Bongo kugonganisha wanawake/wanaume mnaweza, ila kugonganisha mishahara hamuwezi 🤣🤣🤣🤣
Tangu miaka ya 2013 kile kipande ndo kipo hivyo. Hata kule beach public karibu na Sunrise Beach Resort ukiwa unatoka peke yako giza likishaingia kuja Road unaweza kukabwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.