Nimekuelewe mkuu [emoji120][emoji120]ndio maana wanasema kuusaka ukweli ni sawa na kumenya kitunguu kila ganda litakutoa machozi ni sawa ma faili yaliyorundikana je utaghairi kuyafunua?je,ukifika kwenye kiini nini utagundua? Gentamycine
Hakika huu wimbo umenikumbusha mambo mengi nikiangalia nchi inavyoenda hakuna ustawi ktk jamii,uzalendo,haki,amani na tumaini letu linazidi kupotea kwa kukosa utashi kwa baadhi ya viongozi,rushwa kila kona,uonevu wa kila namna,Uhuru hamna na watanzania kupoteza tumaini kutokana na hali ya...
-
POLISI NA DOLA WANATETEMEKA, KUNA JAMBO WANALIFICHA JUU YA ABDUL NONDO.. HAYA NDIO NILIYOYAGUNDUA JUU YAO.
Na Josephat K. Nyambeya
nyambeya@yahoo.com
Kuna msemo wa lugha ya majahazi unasema "A sunk vessel (damaged) has no rudder. What is predestined is inevitable." Kwa maana ya kwamba chombo...
-
Huu uchambuzi utakusaidia ni kutoka kwa Nyambeya "POLISI NA DOLA WANATETEMEKA, KUNA JAMBO WANALIFICHA JUU YA ABDUL NONDO.. HAYA NDIO NILIYOYAGUNDUA JUU YAO.
Na Josephat K. Nyambeya
nyambeya@yahoo.com
Kuna msemo wa lugha ya majahazi unasema "A sunk vessel (damaged) has no rudder. What is...
Salamu wana jf!
Naleta kwenu maombi ya ajira mnisaidie mdogo wenu.
Mimi ni kijana wa kiume.
Umri wa miaka 24.
Makazi_Kibondo
Elimu;Diploma ya Tehama
Lugha;Kiswahili,English
Nipo mbele yenu hapa kuomba msaada wa ajira au kibarua chochote kitakacho nisukuma nitimize malengo yangu ya kupata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.