Chirivella wanted first team involvement kwa next season ili asign mkataba mpya kitu ambacho klopp amemwambia hawezi kumhakikishia Hilo.thats why dogo kaamua kuondoka.but He is one of the bright talents
Maombi ya kujiunga na chuo hapa ni mpaka pale NACTE watakapofungua dirisha kwa vyuo vya elimu ya kati kuanza kupokea maombi ya udahili.Mara nyingi ni kuanzia may au june.Wakifungua tu NACTE dirisha,tuma maombi lazima utachaguliwa tu.Karibu sana MATI MLINGANO!
Naomba kujua ni chuo gani ama mahali gani nitapata kozi za muda mfupi kujifunza innovations hasa fabrication za mashine mbalimbali zinazohusiana na kilimo na mifugo?
Hapana.Hatuuzi zana za kilimo ila tunatoa ushauri,na utaalamu wa matengenezo na marekebisho kwa wenye matatizo ya Mashine na zana za kilimo kwa ujumla.
Wasiliana na makampuni yanayojihusisha na uuzaji wa za za kilimo kama vile AgriCom,LonAgro N.k
Kwa wale wanaotafuta ushauri,Elimu Na Msaada Wa Jambo Lolote Kuhusiana Na Mashine na Zana Za Kilimo Kama vile Matrekta,Planters,Sprayers,Ridgers,Cultivators,Ploughs,Na Nyinginezo,Tuone Tutakusaidia Kwa gharama Nafuu kabisa.
Tunapatikana Muheza Tanga Ndani Ya Chuo cha kilimo MATI Mlingano...
Naomba kujua ni chuo gani ama mahali gani nitapata kozi za muda mfupi kujifunza innovations hasa fabrication za mashine mbalimbali zinazohusiana na kilimo na mifugo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.