Naona wamama hawajapewa nafasi.
Akizungumza Ikulu jijini Dar es Salaam jana baada ya kuwaapisha mawaziri na naibu katibu wakuu aliowateua juzi, Rais Magufuli alimpongeza mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki, Omary Mgumba aliyemwapisha kuwa naibu waziri wa Kilimo jinsi alivyochangia akiunga mkono mapendekezo ya Serikali.
Aise!Tv ya bunge anayo live channel
Mkulya wa kwanza kujua vizuri Kiswahili, wazee wa kubadiri L kua R. Just joke mtani wanguInasikitisha sana kuona Mtanzania na ambaye anampenda kweli Rais wake anakosea kuliandika vyema jina lake na badala ya kuandika Magufuli anaandika Magufuri. Ushauri tu tujifunze kuwa makini hasa tunapoandika kwani kuna wengine tumebobea katika Mawasiliano na Uandishi hivyo tunapoona Mtu anafanya Kosa la Kitaaluma lihusulo Uandishi na hasa hasa utajaji wa majina ya Watu huwa tunaumia kama siyo kukereka sana tu.
4. Mhe. Mussa Ramadhani Sima (Mbunge wa Jimbo la Singida Mjini) anaapa kuwa Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Mazingira.
5. Mhe. Omary Tebwete Mgumba anaapa kuwa Naibu Waziri wa Kilimo.
6. Moses Mpogole Kusiluka ameapa kuwa Katibu Mkuu Ikulu
=======
Wa kilimo, nakupongeza kwa mchango wako bungeni, mimi huwa naangalia hasa wa CCM wapo ambao huwa wanajisahau, unakuta mwingine anazungumza tukifanya hivi tutashindwa, kwanini unaendelea kuwa humu, si ondoka.
Wewe nakupongeza, ulisimama, Mwenyekiti alikuwa anajaribu kuzibaziba na kwa sababu mwenyekiti huyo huyo alihusika kuzitengeneza hizo sheria mbaya za wakati ule, alishiriki kuharibu hizo sheria akawa anakukatisha tamaa, nakupongeza, nikasema wewe unastahili hiki ulichokipata.
Wapo waliokuwa wanataka umaarufu kule bungeni wakawa wanasema watafanya fujo, nikamwambia waziri mkuu waache wafanye fujo. Nitaanzia kwenye jimbo lake kama kuna shangazi zake nitaanza kupia hao
Nilimuuluza mtwara na lindi kuna wabunge wangapinwa ccm akasema 17 nikamwambia bora waondoke wote. na nikambigia simu katibu waccm na kuongea nae kwamba tuanze mpango huo. Pampoja na yeye Waziri mKuu angeondoka na yeye si wa huko huko
na wakati wa kupitisha bajeti nilimuambia katibu mkuu nenda kaangalie wabunge wote wa ccm ambao hawatakuwepo bungeni na awatandike barua. " Katibu Mkuu umefanya hivyo?".
Lugumi yupi wapi siku hizi? Anakaa OBEY?Nendaaaa osterbay NA KULE........Utayaona
Kweli mkuu. Miaka 30 ya porojo na ubabaishaji imetufanya watanzania tuamini kwamba hayo mambo ndo uhalisia wa maisha yetu, inasikitisha sana. Watu wanateuliwa kwenye nafasi za uongozi wanaona ni kama wamepewa zaidi binafsi, hakuna kazi zinazofanyika zaidi ya wizi, rushwa, uzembe, ubabaishaji na porojo. JPM anajaribu kutufanya tujione kuwa we can do better than that, and honestly we're better than that.Tunataka watimize majukumu yao ili tusonge mbele
Yap. Ilizoeleka lelemama, sasa siyo wakati wake.Kiongozi kweli kweli huyu.Yes, a tough president,hongera JPM.Unani-impress sana.