Search results

  1. T

    Msaada kuhusu visa ya Spain

    Habari wandugu, ninaomba msaada kuhusiana na visa ya Spain, mchakato waanzia wapi? na tips gani ni muhimu? nishawahi kwenda USA, UK, RUSSIA AND UKRAINE. Najaribu tafuta information online inakuwa ngumu kupata, nipo Tanzania Dar Es Salaam, mwenye chochote kuhusu hili jamani hemu tupia.....
  2. T

    Kuoa mwanamke mzuri ni sawa na kulima shamba la miwa shuleni

    Haya ndo matatizo: - Wanajijua ni wazuri, full kiburi. - Wakiwa wa Mama wa Nyumbani ni wavivu ku keep up na urembo. - Wakiwa wafanya kazi lazim wamegwe, hakuna namna. - Ukiona kafanya kazi miaka 2 bila kunung'unika ujue bocy anammega, hawaze vumiliwa. - Uzuri sio fahari yako, ni ya wote mpaka...
  3. T

    Bashe Punguza Kuongea sana...

    - Huna lolote. - Huna uzalendo wowote. - You are simply emotional. - Mikakati, maneno yako, matamko na Barua hazijawahi kuwaletea wa Tanzania Maendeleo. - Kaa Meza ule... ustaarabu wa Meza, usiongee wakati unakula.
  4. T

    Mabinti wote wa First Year Kuja Hapa: Part 1:

    Huu ni wito kwa Mabinti wote wa first year Katika vyuo vikuu na vocational trainings ambao wameeingia kwenye uhuru wa Kujisimamia baada ya Kumaliza Secondary School. Mimi nimeoa na nina mke na watoto kwa hiyo ninaamini nina uwezo wa kuwashauri, mnisikilize kwa makini, mnaweza mkapata kitu cha...
  5. T

    MSAADA: Dhana ya Kuchangia/Kutochangia Shuleni

    Mi ninapenda tu kujua kwamba, Serikali inaposema kwamba wazazi wasitoe michango yeyote Shuleni ina maana wanafuta lunch and Uji kabisa kwa wanafunzi wa kutwa, au serikali itakuwa inatoa na HUDUMA IPO PALE PALE?
Back
Top Bottom