wanajf
Nina Samsung Galaxy core prime lte toleo LA mwaka huu,ni simu nnayotumia binafsi na nimeweka tempered glass screen protector,ina 4g lte na good battery life,binafsi ni heavy user kama kucheza games na kuwa jf muda mwingi lakin huwa nafka nayo usiku bila tabu,uzuri ukiiweka kwenye saving...
Wanabodi,
Muda huu niko hapa Ubungo kwenye hizi taa, nimeshuhudia ajali mbaya baina ya polisi aliyekuwa na pikipiki akiwa kwenye msafara ambao nimeshindwa kufahamu ni wa nani, na muendesha bodaboda. Askari amekimbizwa hospitali muda huu.
Mwenye picha na taarifa zaidi aweke hapa. Nimeshindwa...
Poleni kwa majukumu wadau wa jukwaa la teknologia, naomba tujadili ubora wa bidhaa za led tv kutoka brand hizi mbili,binafsi nlienda kununua sony led tv atleast ya kuanzia inch 40 pale game mlimani city lakini katika hali isiyo ya kawaida nkakuta brand mpya ya bruhm,
Kiukweli nlipenda muundo...
though rate ni ndogo kwa simu zenye ubora, hii habari lengo lake ni kutoa angalizo kwa watumiaji wa michina kwani nyingi ya hizo ziko chini ya viwango
Even while the debate over whether cell phones cause cancer rages on, researchers are starting to explore other potentially harmful effects...
1Theyll only be into you if you have plenty of boom and bust
2.Theyll never say I Love you only that they say You optimise my utility.
3.They will rate your kids advancement into a Human Development Index.
4. If you ever get depressed, theyll lower their interest rate to zero.
5.They...
kama una smartphone na inasumbua betry,basi unaweza kununua hii ipod ukawa unaitumia kwa ajili ya internet na music...pia hata kama huna smartphone ila ni mpenzi wa music basi hii kitu itakufaa,betry yake ina nguvu ya kuweza kudumu kwa matumizi ya music na internet kwa siku nzima...haina tatizo...
heri ya x-mass wana jamvi,naomba nisitoe theory AU technical terms za aina yoyote ile ili kila mtu aanze mwanzo
Tangu niwe na akili timamu nimeshuhudia kuchapwa kwa fedha(hapa namaanisha kubadilishwa note na si kuchapwa kwa kawaida kwani ni kawaida kwa benki kuu kuchapa fedha mpya kulingana na...
In September 1996, a North Korean submarine was stranded near Kang-nung and the crew were forced to abandon the ship and land on South Korea. The sub had two special forces agents who had finished a mission in South Korea and were picked up by the sub before the sub ran into a...
habari zenu wanajamvi,mimi ni mwanafunzi wa bsc economics mwaka wa tatu mzumbe,tunatakiwa kuwa field kuanzia mwezi wa kumi mpaka mwakani mwezi wa pili.nmeomba sehemu tofauti tofauti lakini kwa bahati mbaya sijafanikiwa kupata..kama kuna mwanajamvi ambaye ofisini kwake kuna nafasi naomba ani-pm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.