Wanajituma katika kufanya kazi, kwa sababu wanalipwa vizuri. Mwajiri asipokujali, hata ile bidii ya kufanya kazi, inakata. Maana ukikaa unawaza utatokaje kwenye lindi la umasikini
Hata mi nashangaaga wanavyong'ang'ania mpaka tarehe fulani ilihali urefu ndo ule ule! Hata ukipewa tarehe 10 si utasubiri mpaka 10 nyingine ya mwezi mwingine? Ni yale yale yaani
Hahahahaha dah mkuu kama unaniona vile! Mi ndo mara yangu ya kwanza kulima ufuta, nikaanza na ekari mbili. Nikawa nalima kwa simu. Nimeamua kuachana na kufuatilia maana nimeambiwa mazao yameharibika...siwezi kuongeza gharama kwenda shamba kukagua wakati naona nshapata hasara tayari
Mwambie afanye hizo process ulizoambiwa. Wala asiogope kwenye usahili huwa wanaelewa tu hizo issue za kupotelewa na vyeti. Mi niliitwa interviews nyingi na ajira nikapata. Kwa hiyo kama hakufoji mahali hakuna shida. Ni jambo linaloeleweka na taasisi yoyote ikitaka kujiridhisha NECTA watawatumia...
Hata mi nashangaaga wanaoshinda insta kumtukana! Wakati the lady is cute, smart, hardworking, very inspiring...ukimchukulia kwa mtazamo chanya haukosi cha kujifunza kwake!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.