Mnyonyeshe kupita kiasi…pia tumia maziwa ya SMA..yani unamnyonyesha pia unampa na formula inatoka yote…hata wangu ilikua hivyo hatukumpa dawa yoyote..ni kumnyonyesha more and more..
Ana album pekee niliotoa ela yangu nikanunua na kuifadhi kanda adi ilipoibiwa miaka mitatu mbele..katika kila playlist yangu haiwezi kukosa nyimbo yake..katika simu yangu nna nyimbo zake zote adi sasa..kwangu bado anaishi kijana wangu ngwear [emoji1373][emoji1373]
Usiwe na wasiwasi..hao wanaopigiwa ni kwamba wake zao wanataka wahakikishe kwamba ni kweli wameondoka? Ili wajiachie vizuri na mababy zao baby akiwa mkoa mwengine…kupigiana simu sio ndo mapenzi..
Hiyo sio bill..hiyo ni proforma invoice…dhumuni la hiyo karatasi ni maulizo ya bei endapo watachukua vinywaji hivyo…ata ww kapuku unaweza kupata hiyo…wangepiga picha ya bill ikiwa attached na receipt tuappreciate wanywaji..
Kama ni kweli wewe ni moja kati ya wale wanaume wazembe sana..unakaaje ndani ukisubiria kuletewa na mwanamke..mwanaume mwiko kukaa ndani ata kama unaumwa ndo iwe principle..toka nje katafute shughuli ya kufanya ata ukirudi bila pesa kesho toka tena na tena..fanya ata udalali
Wenzako huwa wanatafuta washkaji wa kiume alaf wana ndo wanatoa connection za madem ambao ni mseleleko..ukitegemea demu aje PM utalala siku zote 7 hotelini pekeako [emoji23]
Hoja nzito sana hii na fikirishi kwa watu wenye akili kubwa..ela ya mtanzania investment yake nyepesi sana..ni vitu vitatu tu..frame,hotel na transport..
Nadhani serikali ina kazi kubwa sana kusupport ukuaji wa viwanda vidogo kuwa na kati na vya kati kua vikubwa..
Wafanyabiashara wakubwa wengi...
Tunawaachia haters mnaopadis dodoma mpambane na mjionyeshe kua akilo
Zenu ndogo..hivi kamji kadogo ambako kamejengeka sehem moja kama iringa unapafananishaje na dodoma..nyie wehu..kataeni mkubali,ukitoka dsm,mwanza,arusha inayofata ni dodoma,toeni upuuzi wenu,,wengine ata hamjawahi kufika,amna...
Nimeshapokea ela ya kazi yangu niliyoifanya ndani siku 13,leo advance ya laki 2 tayari imeanguka..
Apa najifkiria nikaimalizie wapi usiku leo..
Cha kwanza elfu 50 naenda kuitoa sadaka sitajali..laki na hamsini nikatumbue pole pole kujipongeza kwa vitu vitam tam ata ikiisha usiku huu wa leo haina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.