VP kuhusu kufumaniwa na mwenye mke na maradhi he! Dah bado nayapenda malinda Yangu siwez kufumuliwa kirahisi hvyo mkuu napambana na hal Yangu mkuu ntatoboa tu mkuu si kupenda mtelezo kiasi hicho
Jaman na mm huku Barabara ya MPITIMBI kwenda LITAPWASI huku SONGEA vijijin BARABARA ina mashimo sana ipo chini ya TANROAD tunaomba mtuone na sisi samahan sana naona wengi wanaocoment ni wa BARABARA za darisalamu samahan kwa kuingilia Uzi
Kweli yajayo yanafurahisha mwaka Jana maji yalijaa na magar yakaharibika hawakuchukua hatua hatua yeyote kwa mwaka huu au walidhan mwaka huu mvua hazitonyesha kweli hii bongo tena nyoso hakuna jipya wachukuliwe hatua za kisheria kwa uharibifu wa Mali ya umma
Kabisa mkuu sasa msibani na sare ya chama wapi na wapi au wanaenda kuhubir siasa pia badala ya kumfariji mfiwa kweli tumefika pabaya ila nashukuru huku kwetu MPITIMBI haya mambo bado
Kichonge katka ubora wako VP teuz bado tu mkuu maana awamu hii umekazania kuipaka rangi jambo lolote la kiserikali umesahau kuwa n wajibu wa serikali kuleta maendeleo kwa wananchi kwan n kodi Yangu mm na wwe wala hatoi mfukoni mwake na akikopa walipaji n mm na wewe SIJUI UJINGA HUU UTATUTOKA...
Nimeishi KILWA na kaz Yangu ya kwanza nilianza kilwa masoko ndio makao makuu ya wilaya ya kilwa ukitokea DAR Hautofika kilwa masoko nadhani kuna kijij kinaitwa njia 4 hapo ndio kuna junction ya kwenda huko kipatimu ni kuzur kias utapitia vjj kama chumo namayuni na vingne ving kabla ya kufka...
Nahisi mtoa mada n wale majamaa walioisakama Liverpool toka round 16 kuwa haifik popote lakin mwisho wa siku timu IPO final na bado haitoshi mkaona mje na matokeo yenu ya mfukoni haya ngoja tuone
Mkuu Tatum huwa kila siku nakuambia na hausikii weka namba yako ya simu teuz imebak moja tu La sivyo utakuwa unatwanga maji kwenye kinu mwenzako kichonge mda sio mrefu atakuwa mbali wewe ukiendelea kuzubaa
Kikubwa nilichogundua hawa wenzetu wanaotupinga ni husda tu baada ya kuona timu zao hazijafika hatua hii mm nawafananisha na MTU ambaye kaz yake kumsifia baba wa mwingine akifanya vizur badala ya kuelekeza nguvu ya kumshaur baba yako mjue WAP. mlipoteleza hadi kuwa hivyo na mwaka huu mtahama...
Mi nawashangaa sana hawa wanaokuja kucritisize kila kitu cha Liverpool niwaambie tu kwa sasa Liverpool ndio talk of the world ndio maana mkaacha forums zenu wote mmeamia humu kwa sababu timu zenu hakuna zinachoshiriki mtazungumza nn na wengine bahati mbaya hata hiyo top 4 kwenye ligi zao hampo...
Mkuu kwanza sorry kwa kukuita mnafiki Ila Huyo Madrid unayemsema hata game1 ya semi final hajacheza na ushampa ushindi hii kisoka haijakaa sawa na kesho sio mbali mkuu sababu mm na wewe bado hatujui matokeo kwan mpira bado haujachezwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.