Tarehe 29/10/2018 nilitoa pesa kwa ajili ya kulipia mzigo wangu. Jana tarehe 14/11 nilienda PPF tower nikachua mzigo wangu uko sealed. Nashukuru sana Mwl, sasa nina kila sababu ya kukuamini. Keep the ball rolling.
Mwl Tafadhali naona kujua mpaka naiweka mkononi nalipa kiasi gani?
English Version Smart Watch Xiaomi Amazfit Bip Huami Mi Pace Lite IP68 GPS Gloness Smartwatch Heart Rate 45 Days Standby-in Smart Watches from Consumer Electronics on Aliexpress.com | Alibaba Group
Habari za leo wana jukwaa! Naomba kujua kama inawezekana kutumia dish la dstv na kisimbuzi cha Zuku baada ya kutafuta sattelite ambayo ZUKU wanarushia channels zao.
Maoni yenu tafadhali.
Haya maisha we yaache tu...ukiwa maeneo ya vyuo ukasikia vijana wanavyo fikiria na kujadili maisha baada ya graduation, ni kama tamthilia fulani hivi ya anasa.
Inawatosha sana, kwa sababu mshahara wenyewe wataendelea kupata i guess hata wasipo pata 300000*20=6000000 na hii kwa uchache tu. Hii ni karibia mara mbili ya mishahara yao inayopatikana kwa jasho kubwa la foleni za scripts za mitihani.
Mimi naona wamewasaidia kupunguza ukali wa maisha sana.
Sina shaka mko salama wanajamii. Tafadhali naomba kufahamishwa ada za kozi za muda mrefu VETA kwa mwenye uelewa, najaribu kupitia tovuti yao sipati taarifa za kutosha.
Natanguliza shukrani zangu.
Check kwenye tovuti yao mambo ya malipo na muda wa kusoma hiyo kozi husika. Je unataka kusoma hiyo postgraduate ili uajiliwe na serikali kama mwalimu??? kwa namna trend ya mambo yanavyokwenda soko la waalimu wa arts litakuwa limejaa siku si nyingi sana. Kama utaajiliwa mwaka huu kwa sifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.