Mkuu kwa heshima na taadhima naomba nikusahihishe nyumba nyingi za maeneo mazuri uliyoyataja wewe za NHC ni nyumba zilizotaifishwa wakati wa ujamaa na wengi wa waliotaifishwa nyumba hizo ni wahindi na waarabu kuna baadhi walipewa haki zao za kuishi kwenye nyumba hizo mfano ni muhindi ambae...
Fucck you TANESCO
Proudly Kenyan
mkuu kenya upo pande ipi wewe mmeru au kilenjin? maana kilenjin kuna totoz hapana mchezo au ulitaka kuwasakama kina manka?
Habari zenu wapiganaji wetu.
Leo nimeona kwenye gazeti silikumbuki jina kuwa Chadema chama tunachokipenda kimeungana na chama cha kikristo cha ujerumani kinachoitwa CDU Christian Democratic Union na kitasaidia Chadema kwa hali na mali ikiwa ni pamoja na semina ili kuimarisha uhusiano wa vyama...
Rozana hawana za ukweli nyingi ni copy huwezi kujua mpaka uwe mjanja utauziwa kitu cha rahisi kwa ghali kisa umeuziwa samora nisikilize mkuu ACD pharmacy wanauza original ila bei ipo juu kuliko sehemu yoyote hapa bongo kwa sababu wanauza vitu vya ukwenhe
Hapo kwenye nyekundu cdm tungehakikisha kina lissu na zitto wanabadilisha sheria ya kiiunua mgongo cha ubunge ili pesa zinazookolewa zisaidie maendeleo maana ukifanya hesabu ya pesa itakayokuwa saved kwa wabunge wote ni mara elfu ya pesa za posho na mara mia tano ya pesa za shangingi. Ni imani...
Maalim Seif kichwa sana tunamhitaji cdm ili alete changamoto maana yeye ni hazina kwa siasa za tanzania na itatusaidia kupata wafuasi wengi pemba.
Pipooooozzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz
Ndoa zingine maziwa, huishi wewe kunyonywa,
Miaka inavyozidia, wazidi kudanganywa,
Hata kile kilojaa, huishia kumumunywa,
Ndoa zingine kunyonywa, na huku unadanganywa.
Kwa dini au sheria, harusi yenu hufanywa,
Ahadi mtazitoa, mkatae kusengenywa,
Na mafunzo mtapewa, na wazazi mkakanywa,
Ndoa...
Nenda JM Mall ground floor kama unaenda kwenye super markert on your right hand kuna pharmacy inaitwa ACD wanauza vitu vya ukweli au ulizia msikiti wa ibadhi haupo mbali na jm mall kwenye maduka ya msikiti kuna duka la manukato ndio duka pekee hapa dar lililo speshelaiz kwenye manukato.
Wanaotoka kusini wote sio watanzania, wa kaskazini ni wa kenya, waganda na upande wa magharibi kwa kina mheshimiwa jepesi wengi ni wacongo, wanyarwanda na warundi kusini mashariki ni wenyeji wa nchi za msumbiji na maputo. Labda wenyewe ni wagogo. Nadhani tukianza kuchokoana tunakotoka basi nchi...
Kwenye bold ninashaka wewe u dini gani
Ndoa na mapenzi si mashaka ikafanyiwa matani
Tigo utoe wewe yeye atampa ya pajani
Wewe huna ya pajani labda ukachonge japani
Ndoa bila rungu ni kama govi na mzungu
Hivi ndiyo ilivyo kwa wanaojua mizungu
Tena ukutane na rungu liloota magugu
Utajisikia hamu kushinda ile ya njugu
Kama hunisadiki waulize machangu
Shairi umelisoma, na pia umefahamu
Kama bado hujakoma, jina lako chakalamu
Yakikukuta ni noma, iweke yako...
Kabla ya harusi huwauliza bibi na bwana harusi
Ikiwa wanajuana mashangazi watachinja mjusi
Wageni watazugwa kwa mahanjumati na juisi
Wallikwa tutafurahi huku tukigongeana gilasi
Mashairi yanasema, mengi yanatuambia,
Kwa watu wenye hekima, kauli huzizingatia,
Na palipo waadhama, waidha huzingatia,
Mashairi yanasema, asosikia kiziwi!
Msigeuze mapenzi,yakawa ni mkurumbasi,
Isirafu damisi,kwa shehe na makasisi,
Mjukuu Ibilisi, kisirani na nuksi,
Mapenzi kama hadithi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.