Search results

  1. M

    Ni wazi sasa: Mbowe na Zitto hawaivi

    Nimeipenda hii! [/U]
  2. M

    Ziara ya Hillary Clinton kuja: Picha na Matukio

    Mind your spelling p/se!
  3. M

    Kikwete amwambia Magufuli aache Ubabe kwenye bomoa bomoa; Magufuli ataaminika tena?

    Hizi ni sinema. Tatizo ni kujua nani kashika remote control.
  4. M

    Ziara ya Zitto nchini Malaysia

    Ujumbe huu si kwa Zitto tu bali pia kwa Rais Kikwete, marafiki zake, wabunge na viongozi wa CCM wa ngazi zote.
  5. M

    Elections 2010 Hatimaye Ritta Mlaki abwaga manyanga jimbo la Kawe....

    Naogopa ninapofikiria kuwa mtoto wake Mama Ritha Mlaki ama mumewe anaweza kusoma haya!!! Vivyo hivyo kwa Bettie.
  6. M

    Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu

    Marriage is a relationship in which one person is always right and the other is the husband!
  7. M

    On Ndulu: The "Guardian" must be kidding me!

    A day before, (Tuesday) the same newspaper had a similar article as its lead (`Experts: Why furore over BoT's residency?) which suggests that the owner of the newspaper must be behind this crap for God knows reasons. Perhaps this kind of campaign will lead to exposing the real Reginald Mengi in...
  8. M

    Barua ya Sakina ya kujiuzulu hii hapa

    Si vibaya kurejea mafanikio yako, ama uliyochangia kazini. Lakini, pamoja na mapungufu kadhaa katika utendaji, naona Sakina amefanya jambo la maana kurejea hayo yote anapoamua kuacha kazi. Pengine hili litamkumbusha Mzee Mengi kuwa hawezi tu kufanya chochote kwa waajiriwa wake kwa sababu tu ana...
  9. M

    Ofisi za DECI zavamiwa

    Ndugu wanajukwaa, Nimefuatilia suala la DECi kwa shauku toka kabla halijaanzwa kuandikwa na magazeti na hata baada ya hapo. Ninashawishika kusema kuwa kuna habari nyingi sana tunafichwa juu ya suala hili lote hasa kwenye fedha. Habari zilizopo ni kuwa wanachama wa DECI ni zaidi ya 700,000 na...
  10. M

    Uvamizi wa Eneo Meru na Mahojiano na Aloyce Kimaro (MB)

    Patrick, uko siriaz kweli? Kama ndio hivyo tuanze na wewe, ile suruali yako nzuri itoe kwa masikini mmoja.
  11. M

    Mwitikio wa Serikali na Wengine juu ya Mengi kutaja mafisadi!

    Im my opinion, Govt opinion didn't come at the most opportune time. Regardless of whether Mengi was right or not in shaming the prominent businessmen, the ministers should have atleast considered how to respond if at all there was a need to do so. There are so many things to look at when...
  12. M

    Wababa wengine bwana

    Mrembo, uchune kwanza na usubiri move yake ya pili upate uhakika. Baada ya hapo utajua mwenyewe
  13. M

    Tujikumbushe ILBORU

    Vigorous Room. Nani anakumbuka chumba hiki? Again ni kwa wale wa miaka ya 90's na 2000 mwanzoni
  14. M

    Tujikumbushe ILBORU

    Mmesahau Bino. Kwa aliyesoma Ilboru miaka ya 1990's huo ni msamiati wa kwanza.
  15. M

    Jukwaa la Wahariri lamfungia Mkuchika; latoa ripoti ya Tarime

    Ndugu zangu, nafikiri tunahitaji kutafakari kwa kina ripoti ya tume ya waandishi. Nina mashaka kama ripoti hii ndio inaelezea ukweli wa mambo yaliyotokea kwenye mazishi ya Mh. Wangwe. nakumbuka vyombo vyote vyote vya habari vilitangaza kuwako kwa vurugu na sio magazeti haya machache ya Kiswahili...
  16. M

    Jukwaa la Wahariri lamfungia Mkuchika; latoa ripoti ya Tarime

    Nina wasiwsi mkubwa na hii tume pamoja na matokeo ya utafiti wao. Kwanza; tuliona kwenye televisheni vurugu na Mbowe na wengine wakisaidiwa kuingia kwenye magari ya polisi. Sijui hili wanakana namna gani. Pili magazeti mengi (na si Nipashe na Majira ambayo George Maratu anayaandikia kama...
  17. M

    Dagaa afungwa miaka 240 kwa ufisadi

    Naona matatizo makubwa mawili 1. Habari hii imeandikwa kwa ushabiki na kujikomba kwa hali ya juu na kwenda kinyume kabisa na maadili ya uandishi. Inanikumbusha siku chache zilizopita mchora katuni wa Kenya alivyochora waandishi wa habari wa Tanzania wakimlamba miguu Rais Kikwete. 2...
  18. M

    Rostam aibukia kanisani!

    Pengine kwa kujua ama kutokujua Kanisa (KKKT) limeingia katika malumbano ya ajabu. Hapa limetoa hukumu moja kwa moja na nafikiri hapa ni kupotea.
  19. M

    Obituary: Zambia's Levy Mwanawasa

    Zambian vice president denies Mwanawasa dead Thu Jul 3, 2008 12:31pm BST LUSAKA (Reuters) - Zambian Vice President Rupiah Banda on Thursday denied media reports that President Levy Mwanawasa had died. "The news reports... are not true," Banda said in a statement, adding that Mwanawasa's...
Back
Top Bottom